Wanaume wa JamiiForums ambao hampati PM wala kujibiwa PM na wanawake jiulize mpo kwenye Majukwaa gani?

umeolewa lini?
 
Bahati mbaya huko PM sipajui kabisaaa! Na siwezagi kutongoza mtadaoni na hata nikitongozwa huwa sijibu ila kuna vibinti vibishiiiii! Kanaona hukajibu bado kanakomaaa! Kutuma sms
Njoo Paulo Makonda (PM) nikufundishe .

[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji125]
 
Uwinda pm nikitindeee kya motoooo

Lakini numoa sana intondo izi. PM wasumikigumila mumoto mpaka uzigile usage makala du. Nsilye PM na nimisilye nene ila sika za kudumwa. Izaso nukutulagyaa du zi sikanizionye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…