Wanaume wa JamiiForums ambao hampati PM wala kujibiwa PM na wanawake jiulize mpo kwenye Majukwaa gani?

Wanaume wa JamiiForums ambao hampati PM wala kujibiwa PM na wanawake jiulize mpo kwenye Majukwaa gani?

Hahahaha si ndo km hivyo demiss kasema mi kidume!! Pm yangu hajibu hata yeye anajua mi dume
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]akiii nimecheka sana shoo
 
Hivi Kichwa Kichafu huwa unapata pm kweli[emoji23][emoji23][emoji23]maana wewe unaahinda kwenye uzi wa kubet
Pm kweli napata maana kila kukicha lazima niwatumie maombi moderator hata kama ya kipuuzi ila pm uwe active tu. Kubet nimemaliza mtaji ila bado napigana na kubet[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mrs Jr wachuuze tu wenzio wabague nazi wainukie koroma, kwa taarifa yako mi naifahamu mishefa ya maana kama mi3 hivi huko jukwaa la Celebrity [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Mmoja anashughulika na ule utajiri wa ardhini, mwingine buloga wa maana tu, mwingine.............. Mmoja kati ya hao ni best angu sana!

Wengine jeiefu wamekuja kufurahi tu sio kuwa siriazi.

Ila mamdogo sio vizuri huo ushauri wako sasa wengine jukwaa la siasa wakajiokotee lumumba buku 7 au makamanda uchwara? Mungu anakuona ujue [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani gyule paso ndio nasuila kina muzee nwaso mulogi kabisa. Tena ukugonela ndili za dyolo ni nzoka. Yaani umulogilwe mpaka nukutakaa kukia ampusile kabisa ndeke kigela
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]maneno mengine magumu nashindwa mpaka kuelewaaa ahhahahah itabid nirud tena home sweet home akiiii
 
Lakini numoa sana intondo izi. PM wasumikigumila mumoto mpaka uzigile usage makala du. Nsilye PM na nimisilye nene ila sika za kudumwa. Izaso nukutulagyaa du zi sikanizionye.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]nimekutekenyaaa upele umeamua kujikuna haya kwann ulikula ban ya muda mrefu

Tuanzie hapo kwanzaaa
Niliedit uzi wa mtu wakanipa Ban toka Mwezi wa 2 nimemiss sana akaunti yangu yenye magari ila ndo hvyo sina uwezo wa kuipata kwa sasa.
 
Back
Top Bottom