hah!
Nimechelewa wapi tena au nikuje mimi[emoji1] [emoji1] [emoji1] ushachelewa mda sanaaaa
Wala usije!kabisaaa![emoji1] [emoji1] [emoji1]Nimechelewa wapi tena au nikuje mimi
Huyu akipata PM ata moja basi si bure kutakuwa na Namna .
Lo! Penzi lenu la juzi tu na Jr hiyo ndoa mmefunga lini ?Hujui kama mm mke wa mtu poleeee
hahaPM kujibiwa utasema unaomba kazi ya ukurugenzi? Utafanyiwa uhakiki wa vyeti, uraia, majukwaa, spelling error, lafudhi n.k msione wanaume wanalalamika.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] demyyyy!nimenyoosha mikono![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]najua mambo swafiiiii
Acha Roho mbaya Zero Iq nae ana moyo vile vileWala usije!kabisaaa![emoji1] [emoji1] [emoji1]
nimekumiss sanaAfu mje kupanga foleni kwa RC na vilio juu.
Kumbe yote yalitokana na ka PM kamoko tu.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]manina zakooooo umejua kunichekeshaaaaNani anajua Wanapouza kioo cha BMW X6 gari yangu jana imepasuka kioo cha mbele wakati nampa farasi dawa.
Pia kama kuna mtu yeyote anaweza kupata kwa muda gari la kukodisha lisizidi Mil 15 kwa mwezi ani PM tuongee biashara.
(kioo cha mbele)
Asante
Kafukue makabur yao utapata majibu yako yoteeeeSidhani kama kuna ukweli hapa, mbona kapo zote zinazojinadi humu ndio zinashinda kwny haya majukwaa ma3 uliyotaja chitchat na mmu?
Labda uniambie hz ni kapo kwa ajili ya maonyesho tu na kusogezeana siku
cheka kihutu kabisaNimecheka sana [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] haya hebu nikaushie tuoneKumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa wanaume wa Jf kwamba hawapati PM kutoka kwa warembo wa Jf.
Mfano Zero IQ na Da 'Vinci na wengine wengi wakilalamika kufungiwa vioo.
Sasa niwaambie siri wanaume ambayo hamjui.
Yani ukimtumia tu mwanamke PM hakujibu mpaka aende kuangalia unashiriki ktk majukwaa gani?
Thread zako ni za aina gani?
Comment zako anafukua fukua makaburi kwanza?
Akishapata jibu ndio anarud PM kukujibu.
Hawa ndo wanaume wanaojibiwa haraka PM zao
Wale waliopo Great thinkers
-Jukwaa la siasa
-Jamii inteligance
-Habari na Hoja mchanganyiko
-Jukwaa la magari(No 1)
-Jukwaa la Madaktari
-Biashara na ujasiriamali
-Kilimo na mifugo
-Biashara na matangazo
Kifupi kwenye yale majukwaa magumu magumu.
Hawa wafuatao huwa wanafungiwa sana vioo PM kutokana na kushiriki kwenye haya majukwaaa.
-Chitchat
-MMU
-Celebrity[emoji16][emoji16][emoji16]
Hata mimi Demiss nilikuwa na hiyo tabiaa kabla sijaolewaa ukinitumia PM sikujibu mpaka nikafukue makaburi yako ya threads na comment zakoo nioneee .
Kile unachoandika ndiyo kipo kwenye akili yakooo .
Siwez kumjibu mwanaume anayeandika comment anaweka emoj[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] lazima nikukaushiee tu.
Kundi la mwisho hawa wanaume walinipa wakati mgumu sana mtu yupo Jf toka mwaka 2014 lakini hajawahi kuanzisha uzi kucomment wala kulike ila anakuja PM na yupo online masaa yoteeee.