Wanaume wa JamiiForums ambao hampati PM wala kujibiwa PM na wanawake jiulize mpo kwenye Majukwaa gani?

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Shemeji kaniumbua mchana kweupe! Mwambie vibaya hivo bhana[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kauzi kanakimbia..yan kwenda kunywa kikonyagi kimoja tu uzi ushafika mbalii
 
Hivi watu wa mara huwa mnapata pm kweli nabet genta sjui kama huwa anapata pm[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]za waremboo
Ninayo moja tu ya mbitiyaza alinisaidia Dawa ya kutibu mwanangu mdogo

aitiviiiiiiii,maraaaaa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…