Wanaume wa JamiiForums ambao hampati PM wala kujibiwa PM na wanawake jiulize mpo kwenye Majukwaa gani?

Wanaume wa JamiiForums ambao hampati PM wala kujibiwa PM na wanawake jiulize mpo kwenye Majukwaa gani?

Hahahaaaa et kwenye jukwaa la magar kwenye hilo jukwaa rrondo nahis huwa anapata pm za kufa mtu

Mbona mimi huwa nazungukia mmu na chitchat lakin napata pm hadi nataka kuifunga pm yangu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]aisee RONDO yawezekana pm yakee imeandika "Memory full"
 
Ohooo Tungekuwa tunatumia Akili zetu za kawaida humu hakika wengine mngetushangaa sana.

Mimi njooni Pm niwajaze Mimba sina cha kwamba hauko kwenye siku za hatari wala salama, Mbegu zangu hubaki hai Masaa 300 toka ziingie.

Karibuni Pm
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]watajiju waache kualalamika na kuonea wivu couple.
Shemela wew ulisema mtu akikupm tu kama ana pess unasikia harufu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Sms zinakuwa hivi

1:05
Mambo valentine

2:40
Habari yako mrembo

4:00
Mbona kimyaaa mamy

6:9
Nijibu basi nina shida na wewe

8:09
Nitext whastap +45456888

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aisee
 
Back
Top Bottom