Wanaume wa JamiiForums ambao hampati PM wala kujibiwa PM na wanawake jiulize mpo kwenye Majukwaa gani?

Wanaume wa JamiiForums ambao hampati PM wala kujibiwa PM na wanawake jiulize mpo kwenye Majukwaa gani?

Mimi sijawai anzisha uzi ila huwa nikidondoshaga comment pale kwenye jukwaa la intelligence au technology lazima pm nimkute mtu sema sipendagi tu kutobgoza hovyo hivyo maana najua siku wakiniona watashangaa kwa umri nilionao alafu wakija pm wanavyoninyenyekea.
under 20 wenzangu nyoosheni vidole au uje pm kama ww ni she
 
Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa wanaume wa Jf kwamba hawapati PM kutoka kwa warembo wa Jf.

Mfano Zero IQ na Da 'Vinci na wengine wengi wakilalamika kufungiwa vioo.

Sasa niwaambie siri wanaume ambayo hamjui.

Yani ukimtumia tu mwanamke PM hakujibu mpaka aende kuangalia unashiriki ktk majukwaa gani?

Thread zako ni za aina gani?

Comment zako anafukua fukua makaburi kwanza?

Akishapata jibu ndio anarud PM kukujibu.

Hawa ndo wanaume wanaojibiwa haraka PM zao
Wale waliopo Great thinkers
-Jukwaa la siasa
-Jamii inteligance
-Habari na Hoja mchanganyiko
-Jukwaa la magari(No 1)
-Jukwaa la Madaktari
-Biashara na ujasiriamali
-Kilimo na mifugo
-Biashara na matangazo
Kifupi kwenye yale majukwaa magumu magumu.

Hawa wafuatao huwa wanafungiwa sana vioo PM kutokana na kushiriki kwenye haya majukwaaa.

-Chitchat
-MMU
-Celebrity[emoji16][emoji16][emoji16]

Hata mimi Demiss nilikuwa na hiyo tabiaa kabla sijaolewaa ukinitumia PM sikujibu mpaka nikafukue makaburi yako ya threads na comment zakoo nioneee .

Kile unachoandika ndiyo kipo kwenye akili yakooo .
Siwez kumjibu mwanaume anayeandika comment anaweka emoj[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] lazima nikukaushiee tu.

Kundi la mwisho hawa wanaume walinipa wakati mgumu sana mtu yupo Jf toka mwaka 2014 lakini hajawahi kuanzisha uzi kucomment wala kulike ila anakuja PM na yupo online masaa yoteeee.
Mboni Mimi huwa nakomenti pumba halafu pamoja na hii biashara yangu ya majeneza lakini mademu kibao wanakujaga PM.!
Labda demu aliyenitosaga humu JF ni mmoja tu ambaye siku hizi amebadiri jina zamani alikuwaga anaitwa "iiduR"
 
Aisee sihusiki na list ya RC usinipe hongo tafazali.

Siwezi kuondoa jina lako kwenye list😀
Ayaaa, imekula kwangu maana nimeletewa barua tatu za kunitaka nifike ofisini kwake tar 11. Lakinii..... Em jibu pm kwanza
 
Mimi sijawai anzisha uzi ila huwa nikidondoshaga comment pale kwenye jukwaa la intelligence au technology lazima pm nimkute mtu sema sipendagi tu kutobgoza hovyo hivyo maana najua siku wakiniona watashangaa kwa umri nilionao alafu wakija pm wanavyoninyenyekea.
under 20 wenzangu nyoosheni vidole au uje pm kama ww ni she
Naona umeamua kujipigia promo [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]safi sana
 
Mwaaaah
tapatalk_1523254869726.jpeg
 
Back
Top Bottom