carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,562
- 285,591
Unataka tuje pm tuanze kuongea habari za lukaku ama pogba?we vipi[emoji23][emoji23]Jukwaa la michezo mbona hujatukumbuka mama
Haaaaa.[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Na mimi nitaweka zako
Zimefika shemMsalimieeee
ningekuonyesha PM ungeshuhudia toka nianze kutumia jf niliowafata pm nazani ni watu wawili kama sio watatu wengine wote wanakukaga tuNaona umeamua kujipigia promo [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]safi sana
Shemela ni PM na mimi leo nitoe nuksiKumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa wanaume wa Jf kwamba hawapati PM kutoka kwa warembo wa Jf.
Mfano Zero IQ na Da 'Vinci na wengine wengi wakilalamika kufungiwa vioo.
Sasa niwaambie siri wanaume ambayo hamjui.
Yani ukimtumia tu mwanamke PM hakujibu mpaka aende kuangalia unashiriki ktk majukwaa gani?
Thread zako ni za aina gani?
Comment zako anafukua fukua makaburi kwanza?
Akishapata jibu ndio anarud PM kukujibu.
Hawa ndo wanaume wanaojibiwa haraka PM zao
Wale waliopo Great thinkers
-Jukwaa la siasa
-Jamii inteligance
-Habari na Hoja mchanganyiko
-Jukwaa la magari(No 1)
-Jukwaa la Madaktari
-Biashara na ujasiriamali
-Kilimo na mifugo
-Biashara na matangazo
Kifupi kwenye yale majukwaa magumu magumu.
Hawa wafuatao huwa wanafungiwa sana vioo PM kutokana na kushiriki kwenye haya majukwaaa.
-Chitchat
-MMU
-Celebrity[emoji16][emoji16][emoji16]
Hata mimi Demiss nilikuwa na hiyo tabiaa kabla sijaolewaa ukinitumia PM sikujibu mpaka nikafukue makaburi yako ya threads na comment zakoo nioneee .
Kile unachoandika ndiyo kipo kwenye akili yakooo .
Siwez kumjibu mwanaume anayeandika comment anaweka emoj[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] lazima nikukaushiee tu.
Kundi la mwisho hawa wanaume walinipa wakati mgumu sana mtu yupo Jf toka mwaka 2014 lakini hajawahi kuanzisha uzi kucomment wala kulike ila anakuja PM na yupo online masaa yoteeee.
Duu !!!asante sana shem ,nimetoa kutu Kumbe PM kuzuri iviiiiOky umeionaaa tayari
Umetumia nguvu nyingi kujibuuu alafu hata hujaeleweka ndugu yangu poleee sanaaaHakuna mtu asiyejua kuwa Deadbody jukwaa ambalo naonekana mara kwa mara ni Jukwaa la elimu na jukwaa la intelligence ila sijawahi pata PM yoyote kutoka kwa wowowo la aina yoyote hapa JF .Ila nishazoea wale wa kununua (Nikiwa Dar nanunuaga kule UKONGA-UEFA na nikiwa DOM nanunuaga kule CDA na UHINDINI mitaa ya KEKO kwa buku 5 unapiga bao nzito nzito tu)
Nyie niwaambie tu ukweli kuwa sina shida na PM za MALAYA wa JF na hata mkinitumia SITAJIBU maana wote siwaamini nahisi mmetumwa na SIRI KALI
NB: DODOMA kuna hawa wadada pale keko ni sheeeda
DAR :
- Jackline
- Miriam
- Rose
- Stella
- Irene
- Ashura
- Caroline
- Amina
- Ester
- Felister
- Nasra
Dah nitawaheshimu sana hawa maana mambo nayopataga kwa elfu 5 huwa nizaidi ya yule demu nayetaka kumuoa ambaye akija kwangu kunitembelea nitamtumia nauli ya kuja elfu 5 ,hela ya kusuka elfu 15,hela ya kula pamoja elfu 10 na nauLi ya kurudi kwao elfu 5 na JUMLA inakuwa elfu 35.
Nilifundishwa kwenye Linear Programming ( Advance Mathematics) kupunguza COST hivyo ile "A" ya Advance Mathematics sikubahatisha.
Ni hayo tu !
TupooooooooooooogoNi muda mrefu sana.Habari ya majukumu ndugu yangu? Ni muda sijawaona espy na anko Heaven Sent,wapo?
Wengine tunaponzwa na avatar zetu..Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa wanaume wa Jf kwamba hawapati PM kutoka kwa warembo wa Jf.
Mfano Zero IQ na Da 'Vinci na wengine wengi wakilalamika kufungiwa vioo.
Sasa niwaambie siri wanaume ambayo hamjui.
Yani ukimtumia tu mwanamke PM hakujibu mpaka aende kuangalia unashiriki ktk majukwaa gani?
Thread zako ni za aina gani?
Comment zako anafukua fukua makaburi kwanza?
Akishapata jibu ndio anarud PM kukujibu.
Hawa ndo wanaume wanaojibiwa haraka PM zao
Wale waliopo Great thinkers
-Jukwaa la siasa
-Jamii inteligance
-Habari na Hoja mchanganyiko
-Jukwaa la magari(No 1)
-Jukwaa la Madaktari
-Biashara na ujasiriamali
-Kilimo na mifugo
-Biashara na matangazo
Kifupi kwenye yale majukwaa magumu magumu.
Hawa wafuatao huwa wanafungiwa sana vioo PM kutokana na kushiriki kwenye haya majukwaaa.
-Chitchat
-MMU
-Celebrity[emoji16][emoji16][emoji16]
Hata mimi Demiss nilikuwa na hiyo tabiaa kabla sijaolewaa ukinitumia PM sikujibu mpaka nikafukue makaburi yako ya threads na comment zakoo nioneee .
Kile unachoandika ndiyo kipo kwenye akili yakooo .
Siwez kumjibu mwanaume anayeandika comment anaweka emoj[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] lazima nikukaushiee tu.
Kundi la mwisho hawa wanaume walinipa wakati mgumu sana mtu yupo Jf toka mwaka 2014 lakini hajawahi kuanzisha uzi kucomment wala kulike ila anakuja PM na yupo online masaa yoteeee.
Amesema hivi (Nanukuu) HANA SHIDA NA PM ZA MALAYA WA JF kwasababu yeye ananunua wa buku 5. Sometimes waelewe tu wasiokubaliana na wewe sio wote watakuwa na mawazo kama yako au kukuunga mkono.Umetumia nguvu nyingi kujibuuu alafu hata hujaeleweka ndugu yangu poleee sanaaa
Aiseee kwan watu wote wanaoenda PM wanatongozaaa ndo maana nimeshangaaa ametumia nguvu nyingi kujibu na kuweka mambo ambayo hayana maanaAmesema hivi (Nanukuu) HANA SHIDA NA PM ZA MALAYA WA JF kwasababu yeye ananunua wa buku 5. Sometimes waelewe tu wasiokubaliana na wewe sio wote watakuwa na mawazo kama yako au kukuunga mkono.