Wanaume wa JamiiForums ambao hampati PM wala kujibiwa PM na wanawake jiulize mpo kwenye Majukwaa gani?

Wanaume wa JamiiForums ambao hampati PM wala kujibiwa PM na wanawake jiulize mpo kwenye Majukwaa gani?

Mkuu nisikuchoshe mwaya pm mm situmii kabisa mm tunamalizana jukwaani
Duuuuuh kwa kwl
IMG_20180421_210204_419.jpg
 
Mweeeh
Nipo hapa nawasubiri wanaume mkuje jamani

Kwahiyo unataka kusema wanaume wanaoshinda chit chat na mmu hawafai [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tunakujaaa
 
Nitoe maoni yangu
1. Wengi mnaosema mnatafuta wachumba hampo sirias mnafanya utani kwenye mambo serious ndio maana mwisho wa siku unajikuta unaolewa/kuoa tu kutimiza matakwa ya kidini.
2. Hata wale mnaotangaza biashara sijui nauza/nanunua wengi hampo serious ukifatwa PM unaanza kuleta mbwembwe kama umebeshwa chuma.
3.Suala la mtu kukufukua/kukujudge kutokana na comments zako nadhani halipo sahihi sana sababu huu ni mtandao una watu wenye tabia tofauti kwa hiyo kama ukiwa na mentality hiyo hata katika maisha yako utaishia kujudge mtu aliyevaa smart mstaarabu kumbe huyo ndo mshenzi hakuna.
All in all mimi nasisitiza watu mnaoweka post za kutafuta wachumba au kuuza vitu muwe serious muache UTANI na UTOTO. Na kama unaona mtu hayuko type yako mchane tuache UNAFIKI vijana.
 
Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa wanaume wa Jf kwamba hawapati PM kutoka kwa warembo wa Jf.

Mfano Zero IQ na Da 'Vinci na wengine wengi wakilalamika kufungiwa vioo.

Sasa niwaambie siri wanaume ambayo hamjui.

Yani ukimtumia tu mwanamke PM hakujibu mpaka aende kuangalia unashiriki ktk majukwaa gani?

Thread zako ni za aina gani?

Comment zako anafukua fukua makaburi kwanza?

Akishapata jibu ndio anarud PM kukujibu.

Hawa ndo wanaume wanaojibiwa haraka PM zao
Wale waliopo Great thinkers
-Jukwaa la siasa
-Jamii inteligance
-Habari na Hoja mchanganyiko
-Jukwaa la magari(No 1)
-Jukwaa la Madaktari
-Biashara na ujasiriamali
-Kilimo na mifugo
-Biashara na matangazo
Kifupi kwenye yale majukwaa magumu magumu.

Hawa wafuatao huwa wanafungiwa sana vioo PM kutokana na kushiriki kwenye haya majukwaaa.

-Chitchat
-MMU
-Celebrity[emoji16][emoji16][emoji16]

Hata mimi Demiss nilikuwa na hiyo tabiaa kabla sijaolewaa ukinitumia PM sikujibu mpaka nikafukue makaburi yako ya threads na comment zakoo nioneee .

Kile unachoandika ndiyo kipo kwenye akili yakooo .
Siwez kumjibu mwanaume anayeandika comment anaweka emoj[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] lazima nikukaushiee tu.

Kundi la mwisho hawa wanaume walinipa wakati mgumu sana mtu yupo Jf toka mwaka 2014 lakini hajawahi kuanzisha uzi kucomment wala kulike ila anakuja PM na yupo online masaa yoteeee.
😀 😛 Niliwahi kumkosa kosa flat screen mmoja wa JF maana baada ya kwenda kufukua makaburi akagundua mie ninashangilia wanawake wenye chura mkubwa mkubwa! Akaona kwangu atapoteza time tu!
 
Mbona hamna hata mwaliko leo jamani.
Dah Sasa Wewe Hupatikani Umenifungia Vioo Eti...

Nisikufiche Mimi Mwenyewe Nimegongea Pilau Kwa Maza Hausi...
Nyie Mmepumzika Me Leo Ndo Siku Ya Kazi All Night...
 
Dah Sasa Wewe Hupatikani Umenifungia Vioo Eti...

Nisikufiche Mimi Mwenyewe Nimegongea Pilau Kwa Maza Hausi...
Nyie Mmepumzika Me Leo Ndo Siku Ya Kazi All Night...
Maza hausi ndio bi mkubwa?
Kazi gani usiku wote jamani.
 
Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa wanaume wa Jf kwamba hawapati PM kutoka kwa warembo wa Jf.

Mfano Zero IQ na Da 'Vinci na wengine wengi wakilalamika kufungiwa vioo.

Sasa niwaambie siri wanaume ambayo hamjui.

Yani ukimtumia tu mwanamke PM hakujibu mpaka aende kuangalia unashiriki ktk majukwaa gani?

Thread zako ni za aina gani?

Comment zako anafukua fukua makaburi kwanza?

Akishapata jibu ndio anarud PM kukujibu.

Hawa ndo wanaume wanaojibiwa haraka PM zao
Wale waliopo Great thinkers
-Jukwaa la siasa
-Jamii inteligance
-Habari na Hoja mchanganyiko
-Jukwaa la magari(No 1)
-Jukwaa la Madaktari
-Biashara na ujasiriamali
-Kilimo na mifugo
-Biashara na matangazo
Kifupi kwenye yale majukwaa magumu magumu.

Hawa wafuatao huwa wanafungiwa sana vioo PM kutokana na kushiriki kwenye haya majukwaaa.

-Chitchat
-MMU
-Celebrity[emoji16][emoji16][emoji16]

Hata mimi Demiss nilikuwa na hiyo tabiaa kabla sijaolewaa ukinitumia PM sikujibu mpaka nikafukue makaburi yako ya threads na comment zakoo nioneee .

Kile unachoandika ndiyo kipo kwenye akili yakooo .
Siwez kumjibu mwanaume anayeandika comment anaweka emoj[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] lazima nikukaushiee tu.

Kundi la mwisho hawa wanaume walinipa wakati mgumu sana mtu yupo Jf toka mwaka 2014 lakini hajawahi kuanzisha uzi kucomment wala kulike ila anakuja PM na yupo online masaa yoteeee.
dada umeolewaaa
 
Back
Top Bottom