Kushangaa tu siwezi mkuu ungekuwa unagawa mahela sawaNjo ushangae tu coz kuna kadada kamegoma kunijibu
Nitakugaia njooKushangaa tu siwezi mkuu ungekuwa unagawa mahela sawa
Mkuu nisikuchoshe mwaya pm mm situmii kabisa mm tunamalizana jukwaaniNitakugaia njoo
Duuuuuh kwa kwlMkuu nisikuchoshe mwaya pm mm situmii kabisa mm tunamalizana jukwaani
Ndio hivyo mkuu kama una shida tunamalizana jukwaani tuDuuuuuh kwa kwlView attachment 752339
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tunakujaaaMweeeh
Nipo hapa nawasubiri wanaume mkuje jamani
Kwahiyo unataka kusema wanaume wanaoshinda chit chat na mmu hawafai [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha eti neno 'jomoni' !!!!!Ngoja wajee mm naogopa kutolewaa povu
Mwanaume anacomment neno "Jomoni" khaaaa hayo majaribu shooo mm akinipm nafunga vioooo.
😀 😛 Niliwahi kumkosa kosa flat screen mmoja wa JF maana baada ya kwenda kufukua makaburi akagundua mie ninashangilia wanawake wenye chura mkubwa mkubwa! Akaona kwangu atapoteza time tu!Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa wanaume wa Jf kwamba hawapati PM kutoka kwa warembo wa Jf.
Mfano Zero IQ na Da 'Vinci na wengine wengi wakilalamika kufungiwa vioo.
Sasa niwaambie siri wanaume ambayo hamjui.
Yani ukimtumia tu mwanamke PM hakujibu mpaka aende kuangalia unashiriki ktk majukwaa gani?
Thread zako ni za aina gani?
Comment zako anafukua fukua makaburi kwanza?
Akishapata jibu ndio anarud PM kukujibu.
Hawa ndo wanaume wanaojibiwa haraka PM zao
Wale waliopo Great thinkers
-Jukwaa la siasa
-Jamii inteligance
-Habari na Hoja mchanganyiko
-Jukwaa la magari(No 1)
-Jukwaa la Madaktari
-Biashara na ujasiriamali
-Kilimo na mifugo
-Biashara na matangazo
Kifupi kwenye yale majukwaa magumu magumu.
Hawa wafuatao huwa wanafungiwa sana vioo PM kutokana na kushiriki kwenye haya majukwaaa.
-Chitchat
-MMU
-Celebrity[emoji16][emoji16][emoji16]
Hata mimi Demiss nilikuwa na hiyo tabiaa kabla sijaolewaa ukinitumia PM sikujibu mpaka nikafukue makaburi yako ya threads na comment zakoo nioneee .
Kile unachoandika ndiyo kipo kwenye akili yakooo .
Siwez kumjibu mwanaume anayeandika comment anaweka emoj[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] lazima nikukaushiee tu.
Kundi la mwisho hawa wanaume walinipa wakati mgumu sana mtu yupo Jf toka mwaka 2014 lakini hajawahi kuanzisha uzi kucomment wala kulike ila anakuja PM na yupo online masaa yoteeee.
Dah Sasa Wewe Hupatikani Umenifungia Vioo Eti...Mbona hamna hata mwaliko leo jamani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]😀 [emoji14] Niliwahi kumkosa kosa flat screen mmoja wa JF maana baada ya kwenda kufukua makaburi akagundua mie ninashangilia wanawake wenye chura mkubwa mkubwa! Akaona kwangu atapoteza time tu!
Maza hausi ndio bi mkubwa?Dah Sasa Wewe Hupatikani Umenifungia Vioo Eti...
Nisikufiche Mimi Mwenyewe Nimegongea Pilau Kwa Maza Hausi...
Nyie Mmepumzika Me Leo Ndo Siku Ya Kazi All Night...
nimama mwenye nyumba..Maza hausi ndio bi mkubwa?
Kazi gani usiku wote jamani.
Huyo mama mwenye nyumba asije tuu akakuozesha binti yake.nimama mwenye nyumba..
kazi yangu me ni dj
dada umeolewaaaKumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa wanaume wa Jf kwamba hawapati PM kutoka kwa warembo wa Jf.
Mfano Zero IQ na Da 'Vinci na wengine wengi wakilalamika kufungiwa vioo.
Sasa niwaambie siri wanaume ambayo hamjui.
Yani ukimtumia tu mwanamke PM hakujibu mpaka aende kuangalia unashiriki ktk majukwaa gani?
Thread zako ni za aina gani?
Comment zako anafukua fukua makaburi kwanza?
Akishapata jibu ndio anarud PM kukujibu.
Hawa ndo wanaume wanaojibiwa haraka PM zao
Wale waliopo Great thinkers
-Jukwaa la siasa
-Jamii inteligance
-Habari na Hoja mchanganyiko
-Jukwaa la magari(No 1)
-Jukwaa la Madaktari
-Biashara na ujasiriamali
-Kilimo na mifugo
-Biashara na matangazo
Kifupi kwenye yale majukwaa magumu magumu.
Hawa wafuatao huwa wanafungiwa sana vioo PM kutokana na kushiriki kwenye haya majukwaaa.
-Chitchat
-MMU
-Celebrity[emoji16][emoji16][emoji16]
Hata mimi Demiss nilikuwa na hiyo tabiaa kabla sijaolewaa ukinitumia PM sikujibu mpaka nikafukue makaburi yako ya threads na comment zakoo nioneee .
Kile unachoandika ndiyo kipo kwenye akili yakooo .
Siwez kumjibu mwanaume anayeandika comment anaweka emoj[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] lazima nikukaushiee tu.
Kundi la mwisho hawa wanaume walinipa wakati mgumu sana mtu yupo Jf toka mwaka 2014 lakini hajawahi kuanzisha uzi kucomment wala kulike ila anakuja PM na yupo online masaa yoteeee.