Wanaume wa JamiiForums nawajibu kwa nini tunawafungia PM na wengine hatuwajibu

Raynavero

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2014
Posts
38,378
Reaction score
56,047
Mnalalamika sana humu majukwaani kua tunafunga PM au mkija hatuwajibu,ndiyo wengine wamefunga PM wengine mkija hatuwajibu kwa sababu kuu zifuatazo;

Kabla ya kutoa sababu mods huku ni chitchat bwanaa...!!punguzen ban jamani kaah!hapa stori tu no matusi tafadhali;

Haya naendelea;

Hatuwajibu kwa sababu tunaogopa huko PM mwahifadhi meseji zetu ili mje kutuchape Nazi baadae tukigombana ukiona hvyo twajifunza kulingana na makosa.Japo si wote lakini wenye tabia hizoo za hayo mambo.

Tunaogopa wengine mnakishawajua watu mnaanza kuonyeshana picha kwa wengine wa humu jf tena wauliza eti Fulani wamjua akijibu simjui anakuonyesha mapicha ya yule mtu kaahh!mambo gani ya kiswazi kunijua sio sababu ya kuonyesha picha zangu kwa watuu!not fair

Wengine sasa mna tabia mbaya mmekutana,mmekaa,mmekula,mmekunywa n.k baadae anaanza kuwataarifu wa humu jf Jana nlikutana na Fulani na Fulani bila kuulizwa kaah![emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] !!!hebu nyie wanaume wenye hizo mambo punguzeni

Wengine mmekaa mmekutan mnaaanza kudiscass memba wa humu then baadae mmoja wenu anakuja kuwageuka anampigia simu mwenyewe kuumpa taarifa kua mlimuongelea!!
[emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] hatari kabisaa

Kwa mambo hayo nani atake kufungua PM au kuwajibu kirahisi.
Naendelea wengine humu sijui ndo watafiti anataka kila mdada na mkaka maarufu wa jf amjue jamaniii!!!halafu je!? Ugraduate au Uqualify nini labda...Mungu anawaona...!!

Kwa hayo machache hapana wale niliobahatika kuchat nao PM ahsante sana nna msiobahtika hapana,naogopaaaaaaaa....kusemwa wengine tuna sura za baba!tupo tupo tu hatuna hata wowowo mtu kama behaviourist akituona lazima amtafute shunie ampe habari zangu kua I'm wowowoless!!!suraless basi tafrani hapa najibodoa kumbe msura wangu kwenye camera halijai kumbe najulikana humu najichoreshaa tuu!!

Nyie wanaume nyie haya bwanaa!!![emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji2]

Nasema hivi mkiendelea hivi Mtakosa wachuchu humu shauri zenu!!
 
Mwanamke unayejitambua unaanzaje kutuma nude picture kwa mwanaume uliyekutana naye mtandaoni? Tena Married woman. Acheni yawapate mnajitakia.
Hafu muwe mnaangalia na watu wa kuwasiliana nao.

Sorry
 
Hapo kwenye kuwajua watu hapo yaani hapo hapo yamenikuta mm mtu unakutana nae jukwaani anakwambia shunie nakujua ww khee umenijuaje kumbe kuna pugi anasambaza picha zangu

We kaka endelea tu kusambaza picha zangu sawa eenh hivi unalipwa kwa mfano ukisambaza picha za mtu haya unanisambazia picha zangu ndio kwanza wananisifia hawanipondi kama ulitaka waniponde imekula kwako na uendelee vizuri kusambaza picha zangu mfyuuuuuu zako

Nitarudi
 
Mwanamke unayejitambua unaanzaje kutuma nude picture kwa mwanaume uliyekutana naye mtandaoni? Tena Married woman. Acheni yawapate mnajitakia.
Hafu muwe mnaangalia na watu wa kuwasiliana nao.

Sorry
Kwani wa mitandaoni wana tofauti gani na wahuko mtaani kwenu!

Binadamu ndo wale wale wa humu na nje ya humu sema inategemea unatuma picha na sio wote wanatuma picha wengine wanakuja whasaap wanatoa picha yako!

Halafu kingine yaani humu jf ni zaidi ya uijuavyoo kaka!
 
Na kwanini ulimpatia picha zako?
 
Kweli pia inakuja pia tabia ya mtu mwenyewe unayewasiliana. Kinachowaponza wanawake wa Jf hua wanadata na hawa vijana wanajisifia kwa Comment zenye kuvuti. Mkiona mtu ana comment za mapenz nzuri maybe how anavyo care, anavyo jiamini na kugegeda nyie mnapaga. Mnadhani ndio mmepata sasa hamjui watu wana prertend ili kuwapata kirahisi.

NILICHOGUNDUA
Humu jf ukijifanya unasifia wanawake hasa singo maza, unawatetea basi unawapata kirahisi more than you think.

Jf ni zaidi ya ninavyoijua? Ipoje hiyo dada..
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] pole sana dear!hivi watu kwa nini sio waungwana ndo maana Mimi naogopa sana kujuana humu!
Mambo yenyewe ndo hayo akuu!!!

Mbona sio uungwana!
 
Best nifungulie pm kidogo tu tutete wawili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…