Hauzimiiiiiiiiiiiiiiiiiii [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]washa moto kidogo basi
Hata sielewiYeah, sasa sijui nawe zitakuja ndani ya mpango mkakati au nje ya mpango mkakati!
Nipo tuuNaam bibie watu wanafanyiana mabaya humu.. ila nimekumiss mnoo
Basi upo kimya sana bibie.. salam haigombi.Nipo tuu
wouzeeeeeerHauzimiiiiiiiiiiiiiiiiiii [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Sio mzuri wa kuchat aisee, napenda kusoma zaidiBasi upo kimya sana bibie.. salam haigombi.
Nakumiss tatizo.Sio mzuri wa kuchat aisee, napenda kusoma zaidi
wouzeeeeeer
Ndiyo maana navumilia.
Kuna watu walikutana kwenye group moja wakapost picha zangu 3 tofauti. Yaani watu wa 3 tofauti.
Basi mtu anayenijua mle akanitumia nilicheka sana.
Yapi hayoHumu JF kuna watu wana akili mbaya balaa,mimi pia yamenikuta yakunikuta ndungu zangu
ThnxNakumiss tatizo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sijazaa kijiji cha jf mie baki na shikamoo yako mfyuuuu
Heheh na mimi nitumie pm hizo picha [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hapo kwenye kuwajua watu hapo yaani hapo hapo yamenikuta mm mtu unakutana nae jukwaani anakwambia shunie nakujua ww khee umenijuaje kumbe kuna pugi anasambaza picha zangu
We kaka endelea tu kusambaza picha zangu sawa eenh hivi unalipwa kwa mfano ukisambaza picha za mtu haya unanisambazia picha zangu ndio kwanza wananisifia hawanipondi kama ulitaka waniponde imekula kwako na uendelee vizuri kusambaza picha zangu mfyuuuuuu zako
Nitarudi
Hahaha, nilitania tu rafiki [emoji23] [emoji23]Wala sio wa Dar wa huko....
Kwa nini, yalishakukuta?Eeeh Mungu nisaidie nisi comment kwenye huu uzi .
Ila ngoja kwanza .
Mimi nikiona mtu kani pm siku hizi nakemea kabisa.
Pole kumbe kuna wanaume wa hivyoHapo kwenye kuwajua watu hapo yaani hapo hapo yamenikuta mm mtu unakutana nae jukwaani anakwambia shunie nakujua ww khee umenijuaje kumbe kuna pugi anasambaza picha zangu
We kaka endelea tu kusambaza picha zangu sawa eenh hivi unalipwa kwa mfano ukisambaza picha za mtu haya unanisambazia picha zangu ndio kwanza wananisifia hawanipondi kama ulitaka waniponde imekula kwako na uendelee vizuri kusambaza picha zangu mfyuuuuuu zako
Nitarudi
Mtaje ili watu wamjueSijampatia picha nipo nae WhatsApp anaiba kwa dp tunaheshimiana sana lakini ana akili za kipugi jitu zima
Yesu akirudipm yangu utajibu lini??