mimi nakusalimia, nimekumiss piaHapo kwenye kuwajua watu hapo yaani hapo hapo yamenikuta mm mtu unakutana nae jukwaani anakwambia shunie nakujua ww khee umenijuaje kumbe kuna pugi anasambaza picha zangu
We kaka endelea tu kusambaza picha zangu sawa eenh hivi unalipwa kwa mfano ukisambaza picha za mtu haya unanisambazia picha zangu ndio kwanza wananisifia hawanipondi kama ulitaka waniponde imekula kwako na uendelee vizuri kusambaza picha zangu mfyuuuuuu zako
Nitarudi
😀😀Ujumbe umefikaHapo kwenye kuwajua watu hapo yaani hapo hapo yamenikuta mm mtu unakutana nae jukwaani anakwambia shunie nakujua ww khee umenijuaje kumbe kuna pugi anasambaza picha zangu
We kaka endelea tu kusambaza picha zangu sawa eenh hivi unalipwa kwa mfano ukisambaza picha za mtu haya unanisambazia picha zangu ndio kwanza wananisifia hawanipondi kama ulitaka waniponde imekula kwako na uendelee vizuri kusambaza picha zangu mfyuuuuuu zako
Nitarudi
Haaa!jamani ndo maana sitoi namba zangu kirahisi naogopa Mimi!sura lenyewa baya hiviiii![emoji19] [emoji19] [emoji19] [emoji19] [emoji19]jamaniiSijampatia picha nipo nae WhatsApp anaiba kwa dp tunaheshimiana sana lakini ana akili za kipugi jitu zima
Kuna watu wanapenda kutafuta "sifa" za kijinga ili na yeye aonekane mjanja mbele ya wenzake kwa kusema anamfahamu mtu fulani.Sijampatia picha nipo nae WhatsApp anaiba kwa dp tunaheshimiana sana lakini ana akili za kipugi jitu zima
Tabia za ki pu....Hapo kwenye kuwajua watu hapo yaani hapo hapo yamenikuta mm mtu unakutana nae jukwaani anakwambia shunie nakujua ww khee umenijuaje kumbe kuna pugi anasambaza picha zangu
We kaka endelea tu kusambaza picha zangu sawa eenh hivi unalipwa kwa mfano ukisambaza picha za mtu haya unanisambazia picha zangu ndio kwanza wananisifia hawanipondi kama ulitaka waniponde imekula kwako na uendelee vizuri kusambaza picha zangu mfyuuuuuu zako
Nitarudi
Jamani! Mbona wengine wanatuharibia bahati zetu humu [emoji15]Haaa!jamani ndo maana sitoi namba zangu kirahisi naogopa Mimi!sura lenyewa baya hiviiii![emoji19] [emoji19] [emoji19] [emoji19] [emoji19]jamanii
kuna mmoja hapo nataka niende pm kwakengoja leo niende PM na mm maana sijawai mwandikia msichana yoyote ujumbe
mjiandae
Demiss
Miss Natafuta
Shunie
cute b
Mtazamo wako na ukweli tofauti kabisaa nakuambia waweza kua na ukweli only 2%!!Kweli pia inakuja pia tabia ya mtu mwenyewe unayewasiliana. Kinachowaponza wanawake wa Jf hua wanadata na hawa vijana wanajisifia kwa Comment zenye kuvuti. Mkiona mtu ana comment za mapenz nzuri maybe how anavyo care, anavyo jiamini na kugegeda nyie mnapaga. Mnadhani ndio mmepata sasa hamjui watu wana prertend ili kuwapata kirahisi.
NILICHOGUNDUA
Humu jf ukijifanya unasifia wanawake hasa singo maza, unawatetea basi unawapata kirahisi more than you think.
Jf ni zaidi ya ninavyoijua? Ipoje hiyo dada..
mi cfanyi maonesho nataka tu kujua kama kweli mnabana pm[emoji23] [emoji2] [emoji2] [emoji2] nani anataka kufanywa maonesho?
Ujumbe wangu umeusoma?Kajaribuu bahati
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]mimi nakusalimia, nimekumiss pia
ban njema ndugu yangu maana naona hata saa 10 hutatoboa
hata mimi??Haaa!jamani ndo maana sitoi namba zangu kirahisi naogopa Mimi!sura lenyewa baya hiviiii![emoji19] [emoji19] [emoji19] [emoji19] [emoji19]jamanii
ndo maana mpaka leo kimyaaaaa fanya unijibu bhanamimi jamani ni mvivu wa kujibu pm imagine lijitu linakuambia nimependa comment yako unaonekana mtamu jamani mimi mtamu nimekuwa asali?aisee sijibugi comment hata nachat na wachache sana wanaojielewa hasa akili kubwa wanaoweza nipa deal la maana au kuniongezea chakula cha ubongo.
Nkikujibu Pm nimekuheshimu,id naijua mlengo wake humu,au mimi nakufata kuna kitu umeandika nikashindwa kuandika jukwaani kwa sababu zangu hapo tutawasiliana na najua akili kubwa,hizo drama drama aaargh zinipite huko