Wanaume wa JamiiForums nawajibu kwa nini tunawafungia PM na wengine hatuwajibu

Hii promo hii
Tangazo zuri kabisa
 
Nasujiria pm yako mama
 
Jamii Forums ni kama msitu mnene wenye kila aina ya wanyama!

Humu ndani kuna watu wako very intelligent, humble, charming and caring.

Pia kuna watu wajinga kwa kiwango cha standard gauge, wanafki, mapoyoyo na wasiojielewa kabisa.

Kwa kifupi tu, JF ni kama hotel menu, you get served what you asked for!

Ukiwa mtu wa hovyo hovyo lazima ufuatwe na watu wa hovyo hovyo. Na ukiwa smart, lazima utajihusisha na watu smart. Ni rahisi sana kumfahamu mtu mpuuzi.

Njia pekee ya kuwaweka wapuuzi mbali ni kumaintain standards zako. Hakikisha kila unachoandika kinatoka kwenye akili ya mtu anaejielewa.

Sasa mtu anaanzisha thread eti njia za kuchepuka bila kukamatwa, unafikiri ni watu wa aina gani watakaotembelea PM yake mara kwa mara?

Acha niwambie kitu dada zangu, hawa mnaowaita MaPUGI hua wanajua aina ya watu wa kuwafuatilia wanaofanana na uPUGI wao. Chui hawezi kumuwinda simba wakati anajua uwezo wake unaishia kwa swala na nyumbu!

So here is a hint, keep higher standards and be classy!

[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
 
Mkuu ulipaswa kuwa tag hawa dada zetu wenye tabia za hovyo!!

Mtu muda wote ni kuandika upuuzi unaategemea PM zake zitakuwa na watu watu wa maana?

Mleta mada na wahuni wenzie huwezi ona mada walizo changia zina mantiki, zaidi ya upupu.

Binafsi amejidhihirisha jinsi alivyoo!!!
 
Great words..

hope someone will save this..[emoji848]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hajui kama ndo anazidi kukuongezea credit
 
Thnx my bro kana be blessed Mimi nashukuru toka niingie jf sijawahi kukumbana na kadhia kama hizo Niko makini mnoo!!

I do value my value!I so scared of my reputation coz I know once it tarnish it won't be cleared easily!!

Mimi naomba Mungu anilinde sana kuna watu siwajibu kabisaa PM kwa sababu naogopa mnooo Mimi ni kwanza ni mtoto nimezaliwa,mama,Dada,Wifi,shemeji,mwalimu,jirani,rafiki wa watu na mwanajf naogopa sanaa mtu kunidhalilisha naogopa mtu!

Nawaeshimu wote wanaoniheshimu
 
Sio kwa ukweli mchungu huu.

Umeeleweka.
 
Peace be upon you!

[emoji39] [emoji39] [emoji39]
 
Ahsante kaka barikiwa sana ila nikuambie kitu!don't judge a book by it's cover...!!

Uzuri wa mkakasi katikati kipande cha mti! Na sio kila mwandishi wa kitabu anaandika yaliyomkuta ni fasihi tu!!!

Usihukumu usilolijua na pia ungejua [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] usingesemaa!!!huna ulijualo

Chuki zako kwangu Mimi zitakuumiza buree!!!
Humu ndani huwezi mjua mdada wa hovyo wala mtakatifu kwa kupitia mwandiko
Huu ni msitu ndugu!huyo unaemuona wa hovyo ukute hajawahi hata kufunuliwa humu ndani halafu huyo unaemuona wa maana ndo chakula ya wote.
So please kaa kimya soma mchezo!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…