Wanaume wa JamiiForums nawajibu kwa nini tunawafungia PM na wengine hatuwajibu

Wanaume wa JamiiForums nawajibu kwa nini tunawafungia PM na wengine hatuwajibu

Hapo kwenye kuwajua watu hapo yaani hapo hapo yamenikuta mm mtu unakutana nae jukwaani anakwambia shunie nakujua ww khee umenijuaje kumbe kuna pugi anasambaza picha zangu

We kaka endelea tu kusambaza picha zangu sawa eenh hivi unalipwa kwa mfano ukisambaza picha za mtu haya unanisambazia picha zangu ndio kwanza wananisifia hawanipondi kama ulitaka waniponde imekula kwako na uendelee vizuri kusambaza picha zangu mfyuuuuuu zako

Nitarudi
Hii promo hii
Tangazo zuri kabisa
 
mimi jamani ni mvivu wa kujibu pm imagine lijitu linakuambia nimependa comment yako unaonekana mtamu jamani mimi mtamu nimekuwa asali?aisee sijibugi comment hata nachat na wachache sana wanaojielewa hasa akili kubwa wanaoweza nipa deal la maana au kuniongezea chakula cha ubongo.
Nkikujibu Pm nimekuheshimu,id naijua mlengo wake humu,au mimi nakufata kuna kitu umeandika nikashindwa kuandika jukwaani kwa sababu zangu hapo tutawasiliana na najua akili kubwa,hizo drama drama aaargh zinipite huko
Nasujiria pm yako mama
 
Jamii Forums ni kama msitu mnene wenye kila aina ya wanyama!

Humu ndani kuna watu wako very intelligent, humble, charming and caring.

Pia kuna watu wajinga kwa kiwango cha standard gauge, wanafki, mapoyoyo na wasiojielewa kabisa.

Kwa kifupi tu, JF ni kama hotel menu, you get served what you asked for!

Ukiwa mtu wa hovyo hovyo lazima ufuatwe na watu wa hovyo hovyo. Na ukiwa smart, lazima utajihusisha na watu smart. Ni rahisi sana kumfahamu mtu mpuuzi.

Njia pekee ya kuwaweka wapuuzi mbali ni kumaintain standards zako. Hakikisha kila unachoandika kinatoka kwenye akili ya mtu anaejielewa.

Sasa mtu anaanzisha thread eti njia za kuchepuka bila kukamatwa, unafikiri ni watu wa aina gani watakaotembelea PM yake mara kwa mara?

Acha niwambie kitu dada zangu, hawa mnaowaita MaPUGI hua wanajua aina ya watu wa kuwafuatilia wanaofanana na uPUGI wao. Chui hawezi kumuwinda simba wakati anajua uwezo wake unaishia kwa swala na nyumbu!

So here is a hint, keep higher standards and be classy!

[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
 
Jamii Forums ni kama msitu mnene wenye kila aina ya wanyama!

Humu ndani kuna watu wako very intelligent, humble, charming and caring.

Pia kuna watu wajinga kwa kiwango cha standard gauge, wanafki, mapoyoyo na wasiojielewa kabisa.

Kwa kifupi tu, JF ni kama hotel menu, you get served what you asked for!

Ukiwa mtu wa hovyo hovyo lazima ufuatwe na watu wa hovyo hovyo. Na ukiwa smart, lazima utajihusisha na watu smart. Ni rahisi sana kumfahamu mtu mpuuzi.

Njia pekee ya kuwaweka wapuuzi mbali ni kumaintain standards zako. Hakikisha kila unachoandika kinatoka kwenye akili ya mtu anaejielewa.

Sasa mtu anaanzisha thread eti njia za kuchepuka bila kukamatwa, unafikiri ni watu wa aina gani watakaotembelea PM yake mara kwa mara?

Acha niwambie kitu dada zangu, hawa mnaowaita MaPUGI hua wanajua aina ya watu wa kuwafuatilia wanaofanana na uPUGI wao. Chui hawezi kumuwinda simba wakati anajua uwezo wake unaishia kwa swala na nyumbu!

So here is a hint, keep higher standards and be classy!

[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Mkuu ulipaswa kuwa tag hawa dada zetu wenye tabia za hovyo!!

Mtu muda wote ni kuandika upuuzi unaategemea PM zake zitakuwa na watu watu wa maana?

Mleta mada na wahuni wenzie huwezi ona mada walizo changia zina mantiki, zaidi ya upupu.

Binafsi amejidhihirisha jinsi alivyoo!!!
 
Jamii Forums ni kama msitu mnene wenye kila aina ya wanyama!

Humu ndani kuna watu wako very intelligent, humble, charming and caring.

Pia kuna watu wajinga kwa kiwango cha standard gauge, wanafki, mapoyoyo na wasiojielewa kabisa.

Kwa kifupi tu, JF ni kama hotel menu, you get served what you asked for!

Ukiwa mtu wa hovyo hovyo lazima ufuatwe na watu wa hovyo hovyo. Na ukiwa smart, lazima utajihusisha na watu smart. Ni rahisi sana kumfahamu mtu mpuuzi.

Njia pekee ya kuwaweka wapuuzi mbali ni kumaintain standards zako. Hakikisha kila unachoandika kinatoka kwenye akili ya mtu anaejielewa.

Sasa mtu anaanzisha thread eti njia za kuchepuka bila kukamatwa, unafikiri ni watu wa aina gani watakaotembelea PM yake mara kwa mara?

Acha niwambie kitu dada zangu, hawa mnaowaita MaPUGI hua wanajua aina ya watu wa kuwafuatilia wanaofanana na uPUGI wao. Chui hawezi kumuwinda simba wakati anajua uwezo wake unaishia kwa swala na nyumbu!

So here is a hint, keep higher standards and be classy!

[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Great words..

hope someone will save this..[emoji848]
 
Hapo kwenye kuwajua watu hapo yaani hapo hapo yamenikuta mm mtu unakutana nae jukwaani anakwambia shunie nakujua ww khee umenijuaje kumbe kuna pugi anasambaza picha zangu

We kaka endelea tu kusambaza picha zangu sawa eenh hivi unalipwa kwa mfano ukisambaza picha za mtu haya unanisambazia picha zangu ndio kwanza wananisifia hawanipondi kama ulitaka waniponde imekula kwako na uendelee vizuri kusambaza picha zangu mfyuuuuuu zako

Nitarudi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hajui kama ndo anazidi kukuongezea credit
 
Jamii Forums ni kama msitu mnene wenye kila aina ya wanyama!

Humu ndani kuna watu wako very intelligent, humble, charming and caring.

Pia kuna watu wajinga kwa kiwango cha standard gauge, wanafki, mapoyoyo na wasiojielewa kabisa.

Kwa kifupi tu, JF ni kama hotel menu, you get served what you asked for!

Ukiwa mtu wa hovyo hovyo lazima ufuatwe na watu wa hovyo hovyo. Na ukiwa smart, lazima utajihusisha na watu smart. Ni rahisi sana kumfahamu mtu mpuuzi.

Njia pekee ya kuwaweka wapuuzi mbali ni kumaintain standards zako. Hakikisha kila unachoandika kinatoka kwenye akili ya mtu anaejielewa.

Sasa mtu anaanzisha thread eti njia za kuchepuka bila kukamatwa, unafikiri ni watu wa aina gani watakaotembelea PM yake mara kwa mara?

Acha niwambie kitu dada zangu, hawa mnaowaita MaPUGI hua wanajua aina ya watu wa kuwafuatilia wanaofanana na uPUGI wao. Chui hawezi kumuwinda simba wakati anajua uwezo wake unaishia kwa swala na nyumbu!

So here is a hint, keep higher standards and be classy!

[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Thnx my bro kana be blessed Mimi nashukuru toka niingie jf sijawahi kukumbana na kadhia kama hizo Niko makini mnoo!!

I do value my value!I so scared of my reputation coz I know once it tarnish it won't be cleared easily!!

Mimi naomba Mungu anilinde sana kuna watu siwajibu kabisaa PM kwa sababu naogopa mnooo Mimi ni kwanza ni mtoto nimezaliwa,mama,Dada,Wifi,shemeji,mwalimu,jirani,rafiki wa watu na mwanajf naogopa sanaa mtu kunidhalilisha naogopa mtu!

Nawaeshimu wote wanaoniheshimu
 
Jamii Forums ni kama msitu mnene wenye kila aina ya wanyama!

Humu ndani kuna watu wako very intelligent, humble, charming and caring.

Pia kuna watu wajinga kwa kiwango cha standard gauge, wanafki, mapoyoyo na wasiojielewa kabisa.

Kwa kifupi tu, JF ni kama hotel menu, you get served what you asked for!

Ukiwa mtu wa hovyo hovyo lazima ufuatwe na watu wa hovyo hovyo. Na ukiwa smart, lazima utajihusisha na watu smart. Ni rahisi sana kumfahamu mtu mpuuzi.

Njia pekee ya kuwaweka wapuuzi mbali ni kumaintain standards zako. Hakikisha kila unachoandika kinatoka kwenye akili ya mtu anaejielewa.

Sasa mtu anaanzisha thread eti njia za kuchepuka bila kukamatwa, unafikiri ni watu wa aina gani watakaotembelea PM yake mara kwa mara?

Acha niwambie kitu dada zangu, hawa mnaowaita MaPUGI hua wanajua aina ya watu wa kuwafuatilia wanaofanana na uPUGI wao. Chui hawezi kumuwinda simba wakati anajua uwezo wake unaishia kwa swala na nyumbu!

So here is a hint, keep higher standards and be classy!

[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Sio kwa ukweli mchungu huu.

Umeeleweka.
 
Thnx my bro kana be blessed Mimi nashukuru toka niingie jf sijawahi kukumbana na kadhia kama hizo Niko makini mnoo!!

I do value my value!I so scared of my reputation coz I know once it tarnish it won't be cleared easily!!

Mimi naomba Mungu anilinde sana kuna watu siwajibu kabisaa PM kwa sababu naogopa mnooo Mimi ni kwanza ni mtoto nimezaliwa,mama,Dada,Wifi,shemeji,mwalimu,jirani,rafiki wa watu na mwanajf naogopa sanaa mtu kunidhalilisha naogopa mtu!

Nawaeshimu wote wanaoniheshimu
Peace be upon you!

[emoji39] [emoji39] [emoji39]
 
Mkuu ulipaswa kuwa tag hawa dada zetu wenye tabia za hovyo!!

Mtu muda wote ni kuandika upuuzi unaategemea PM zake zitakuwa na watu watu wa maana?

Mleta mada na wahuni wenzie huwezi ona mada walizo changia zina mantiki, zaidi ya upupu.

Binafsi amejidhihirisha jinsi alivyoo!!!
Ahsante kaka barikiwa sana ila nikuambie kitu!don't judge a book by it's cover...!!

Uzuri wa mkakasi katikati kipande cha mti! Na sio kila mwandishi wa kitabu anaandika yaliyomkuta ni fasihi tu!!!

Usihukumu usilolijua na pia ungejua [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] usingesemaa!!!huna ulijualo

Chuki zako kwangu Mimi zitakuumiza buree!!!
Humu ndani huwezi mjua mdada wa hovyo wala mtakatifu kwa kupitia mwandiko
Huu ni msitu ndugu!huyo unaemuona wa hovyo ukute hajawahi hata kufunuliwa humu ndani halafu huyo unaemuona wa maana ndo chakula ya wote.
So please kaa kimya soma mchezo!!!
 
Back
Top Bottom