Wanaume wa JamiiForums nawajibu kwa nini tunawafungia PM na wengine hatuwajibu

Nikuhakikishie ukinijibu, utakuja na uzi mwingine unaosema '' hizi ndio sababu za kutowafungia pm wanaume mashine'' [emoji1] [emoji1]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hatari hii
 
Hiki kicheko kwema ndugu
 
Hahahaha hao ndio watu wa jf
 
Ungejuaga usingekuwa unaquote post zangu hujui tu acha nikupe taarifa upo kwenye ignore list yangu usijisumbue kuniquote

Kama ni promo acha nivutie wateja wangu wewe inakuhusu nini wanaume kama nyie tunawaita mapugi byee
Shikamoo ndugu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…