Wanaume wa JamiiForums nawajibu kwa nini tunawafungia PM na wengine hatuwajibu

Mimi pia naogopa mnooo!
 
Ahsante kaka
 
Yaan mondray huwezi kumdhania huyu kaka jamani anavyojifanya wa heshima kwanza akitaka kukuzoea sasa anajifanya dada angu kimekwenda kimerudi kumbe anataka akujue tu halafu akikutana na watu wake huko anawaonyesha picha anazoiba kwa dp yako
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hatariii hiii!!!
 
Acha tu mama mwenyewe unajiongelesha kwenye thread unajidanganya mm kipotabo mtu anakuquote we shunia acha uongo nakujua mm mbona ww kibonge cheusi unajiuliza kanijuaje mwisho wa siku kumbe ana ukaribu na bwana pepsi picha alionyeshwa na bwana pepsi

Usikubali kukutwa na bwana pepsi kabisa
[emoji23] [emoji23] pole sana dear!hivi watu kwa nini sio waungwana ndo maana Mimi naogopa sana kujuana humu!
Mambo yenyewe ndo hayo akuu!!!

Mbona sio uungwana!
 
Yaan mondray huwezi kumdhania huyu kaka jamani anavyojifanya wa heshima kwanza akitaka kukuzoea sasa anajifanya dada angu kimekwenda kimerudi kumbe anataka akujue tu halafu akikutana na watu wake huko anawaonyesha picha anazoiba kwa dp yako
Daaaah pole sana Shuniie..
Kwakweli bora niwe na mawasiliano na wanaume tu wa JF. Sasa anapata faida gani???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…