Wanaume wa JamiiForums nawajibu kwa nini tunawafungia PM na wengine hatuwajibu

Kibaya zaidi, ushavuta hisia zako sauti na sura take unamfananisha na MTU wa mbele huko
Unajipodoooa mwenyewe ili ufanane na yule dem muigizaji wa kibrazil,kufika tu unakata tamaa kama vile kitunguumaji kikiwa juani
[emoji2] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji3] jamaniii
 
Nakupenda mziguaa...my mkwee akili nyingiiii!!mpk zinamwagikaa
 
Sawa mkuu ngoja niagize
Agiza unachotumia hapo hapo ulipo alfu huyo aliekaa pembeni hapo mwambie aachie siti hyo imelipiwa[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Utanitoa roho. Umetaja mbuzi katoliki nikaitamani ghafla
 
Naishukuru jf imenifanya nifahamiane na watu ambao wamekuwa msaada mkubwa sana kwangu, na sijutii.

NB; jf ni kama mtaani tu, tupo wa kila aina humu, cha msingi ni kupuuzia tu yale/wale wanaokukwaza.
Una akili sana
 
Ongera kwa kulitoa la moyon honey
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…