Wanaume wa JamiiForums nawajibu kwa nini tunawafungia PM na wengine hatuwajibu

Havai boxa bana alikuaga anaaga Eve baadae ngoja nikafue chupi, nauliza chupi au boxa et chupi mie sipendi kuvaa boxa...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Eva ulitongozwaaa!!UNGEINGIA LINE BEST UNGEJUTAA!Mi nashukuru sijatongozwaa wala kuambiwa ujinga ujinga hata kidogoo!
 
mitandaoni maigizo , kila mmoja kasoma chuo, kila mmoja tajiri, kila mmoja anagari hawaaminiki kabisa.
Tumekutana na positive impacts humu humu,
Biashara, elimu na hata mahusiano
Haya mengineyo ni matokeo tu yasiyotarajiwa kutokana na utofauti wa watu.

Hata mitaani unaweza ukaishi na watu vizuri ila negative impacts hazikosekani.
 
mitandaoni maigizo , kila mmoja kasoma chuo, kila mmoja tajiri, kila mmoja anagari hawaaminiki kabisa.
Hao fake wa hvyo hata real life ni yukio hvyo tupo humu maskini tunaishi uswazi tunapanda daladala na tunakopana humu humu jf [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] na watumiaji wa tecno pia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…