Wanaume wa JamiiForums nawajibu kwa nini tunawafungia PM na wengine hatuwajibu

Nitaimba haleluyah tumsifuu!!
Nitaimba haleluyah tushangilie!.
mapepo yote yamtoke!
Uchawi wote umkome!
hearly ashindwe kung'oa reli ya kuelekea edeni!
gonga like!.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Futa kwanza tatoo ya jina la Ex wako mkononi njoo tena!..
Kanisani kwetu wanaogopa sana watu kama nyie!.. Kuna mmoja alikuja tukamuombea na mitatuu yake akatuibia mtoto wa mchungaji!..
Sasa hivi binti ana michoro kama kitenge!.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mambo!
Mzima wewe?
Niambie! 🙂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Inakera kama nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…