Wanaume wa JamiiForums nawajibu kwa nini tunawafungia PM na wengine hatuwajibu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ladie nitawashsuri hapa, huu ni mtandao na amin kuwa sis wanaume we are in different types , kuchat na mtu PM sio vbaya ila you have to be cautious , kuna kitu mnakiita RED FLAG, ukishaona hicho then unaweza kwepana na fedheha pia msitumetume picha zenu ovyo hujui umtumiaye ustaarabu wake ukoje, jitahidin kuwasoma wanaowafuata PM sio kukurupuka mkijua mmpeta kumbe mmepatikana, natumaini mkiwa careful hamtapata hizi adha, narudia huu ni mtandao na we members hasa wanaume tupo wa type nyingi , stay blessed
 
Nina hasira na wewe!.. sijui nikuweke Ignore list!..
Baiskeli yangu utoe lift wewe, sasa sms zangu utoe idadi wewe!.. Ngoja nipate mkodisha radi walaah.
aiseee ignore list yanini tena" ina maana zile namba za wema sepetu ulizoniomba hauzihitaji tena nimpatie Castr
 
ndo ukaamua muozesha mashariki ya mbali!?..
kuna mtu kabebeshwa zigo " nilimwambia amtafute bwege yeyote ambaye alikuwa anamshobokea humu then amuuzie mechi baada ya hapo amwambie kuwa ana preg yake", basii kuna lijamaa limoja hivi limekubali eti
 
usiruhusu walete mbele, beba kapu wafate wana aibu sana na wavaa madera sijui kwanini!.. watatoa hadi nauli zao!
hahaAaa" wavaa maderA Mimi ruksa kabisa kunifilisi
 


Hapo kwenye kutuma picha ni jambo moja, lakini cha kusikitisha, kesi ya Shunie iko tofauti, mtu anachukua picha ya profile anasambazia watu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…