Wanaume wa JamiiForums nawajibu kwa nini tunawafungia PM na wengine hatuwajibu

Wanaume wa JamiiForums nawajibu kwa nini tunawafungia PM na wengine hatuwajibu

Watu mmekutana PM mkapeana namba za simu,mkatongozana,mkapanga hadi kugegedana mkaenda mpaka mitoko mkavuliana vyupi mwenye kibamia sawa na mwenye bwawa sawa sasa kutangazana ndio nin ukiona mwanaume wa aina hyo si riziki na mwanamke wa namna hyo ujue huyo ni Mchelemchele
Nakaziaa....mwingine hujamvulia hata chupi basi tu anakusambaza tu ilimradi
 
Hapo kwenye kuwajua watu hapo yaani hapo hapo yamenikuta mm mtu unakutana nae jukwaani anakwambia shunie nakujua ww khee umenijuaje kumbe kuna pugi anasambaza picha zangu

We kaka endelea tu kusambaza picha zangu sawa eenh hivi unalipwa kwa mfano ukisambaza picha za mtu haya unanisambazia picha zangu ndio kwanza wananisifia hawanipondi kama ulitaka waniponde imekula kwako na uendelee vizuri kusambaza picha zangu mfyuuuuuu zako

Nitarudi
Nisamehe. Sirudii tena. Rudisha majeshi
 
OyA ... Nyie wanawake siwatak pm mkija mje ... Na maada za .maana za kusaidia kuleta pesa ....sio ooh swalehe amekula ... Umelala ..baba swalehe ?? Sasa nmelala .. Akat unaona nipo online ... Shabash sitak utan mi nmevurugwa na .maanatomy huku .. Neurosurgery inasumbua. Haf unaleta story za ajabu leta story za maana wakuu [emoji23] [emoji23]
 
OyA ... Nyie wanawake siwatak pm mkija mje ... Na maada za .maana za kusaidia kuleta pesa ....sio ooh swalehe amekula ... Umelala ..baba swalehe ?? Sasa nmelala .. Akat unaona nipo online ... Shabash sitak utan mi nmevurugwa na .maanatomy huku .. Neurosurgery inasumbua. Haf unaleta story za ajabu leta story za maana wakuu [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji1] [emoji1] si useme tuu
 
Binti, chige ni kaka yako ???
Tangia lini aiseee ???
Demiss Chige ashakuwa kaka huku
Oh Lord!! Ama kweli, kikulacho kinguoni mwako! Maneno haya kweli yatoka kwa Malcom! Eti Demiss, hivi hapo juu si ndo fitina zenyewe hizi?!

Sa' hapo tu Shunie kasema mimi ni kakake... je, angesema ukweli kwamba mi ni kakake binamu, fitina si ndo zingezidi maradufu!!!
 
Back
Top Bottom