[emoji3] [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hello, mambo nimeona comments zako jukwaani nimekupenda.
U mzima Mrembo? [emoji3][emoji3]
Asee pesa yooote hiyo malipo ya kuchat tuu? tafakari upya mkuu otherwise nitaimba ule wimbo wa Dulla makabila hahahaNi malipo yangu ya kunichatisha muda wote huo.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Uko vizuri na miamala[emoji23][emoji23][emoji23]Ni malipo yangu ya kunichatisha muda wote huo.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Ndio malipo yangu hayo mkuu. Nashukuru sana.Asee pesa yooote hiyo malipo ya kuchat tuu? tafakari upya mkuu otherwise nitaimba ule wimbo wa Dulla makabila hahaha
Na hili ndilo kubwa.Kutongoza ni demokrasia yng kama DUME RIJALI... nikihisi nakuhitaji basi sina BUDI KUKUFIKISHIA ujumbe....na KUNIKUBALI AU KUNIKATAA pia ni HIARI YAKO DADA...ila kwakuwa nimeshatimiza DEMOKRASIA yng kama DUME RIJALI mimi huwa I DONT CARE...
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Uko vizuri na miamala[emoji23][emoji23][emoji23]
Eti tuwaache watutongoze tu maana wameubwa kututongoza.Sijaelewa mnalalamika nini...
Tushamaliza.Hivi bado mnatongoza na?
Mbona sioni Athari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji8]Mambo?
Vipi?
Mzima wewe?
Mambo yanakwendaje?
Uko poa lakini?
Niambie(hii ndio inakera kuliko maelezo)
Vipi huko?
Yaani kila ukijibu inakuja salamu nyingine utafikiri kipindi cha kutumiana salamu RTD!!!!
Mkuu kama uko makini tayari athari zimeshaonekana ila kama hauko makini hutakaa uzionee hapa jukwaaniHivi bado mnatongoza na?
Mbona sioni Athari
Mkuu tunafuatiliwa na gari ujue? Daby anataka kuona athari za Mtongozo tumjibu vp?Ndio malipo yangu hayo mkuu. Nashukuru sana.
Ni kama vile wanataka tukitongozwa tusikatae. Ili wapate mada kuwa tunajirahisisha, maharage ya mbeya etc..tehEti tuwaache watutongoze tu maana wameubwa kututongoza.
Mie nawakumbusha tu na pesa watupatie tu maana wameumbwa kutupatia.