Wanaume wa JF hamcheleweshi, mnatongoza hovyo kila mnayemwona!

Eti tuwaache watutongoze tu maana wameubwa kututongoza.
Mie nawakumbusha tu na pesa watupatie tu maana wameumbwa kutupatia.
Ni kama vile wanataka tukitongozwa tusikatae. Ili wapate mada kuwa tunajirahisisha, maharage ya mbeya etc..teh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…