Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Nipo brother, kwema lakini pande hizoBro upo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo brother, kwema lakini pande hizoBro upo
Aiseeenitamweleza baadae na wasilijue tu maana chululuu ni kitu ingine bhana
Nipo upande wako budaDada zetu tunashida wote humu ndani, tunataniana humu ndani sasa tusipowatongoza nyie tutamtongoza nani? Mnataka tushinde humu ila tutongoze FB na badoo? Nyie mtatongozwa na nani sasa si vizuri hivyo bwana, Mtukubalie.
Tunawapenda saana ndiyo maana. Mtu akikutongoza jua kakupenda eti na unapaswa kumkaribisha PM kwa mbwembwe zote.
Mnataka tuwape nini sisi zaidi ya mitongozo iliyotukuka(Gentamcyne)?na wewe uliyenambia haya walai sikuachi nitakuja na ID mpya tu.
"Wanaume wa JF ndivyo mlivyo" sio hivyo sisi tunajua kuwapenda ni woga wenu tu. Nyie tuacheni tuplay role yetu ya kuwa Seduce maana tushakuwa vipusa.
Tuzidi kumwombea Lisu.
Duh nilikuwa napita kimyakimya ila hili dongo limenipata gizani....yalaaa!hakuna boya kama mwanaume asiyekuwa na pesa
Kiss n tell....mtatuogopesha tusijaribu!Haha yani nimecheka kama mazuri jamani, mtu hata haku-seduce kumjibu
Mmmh tumetoa tu mfano jamani, kwani na wewe huwa unasalimia siku nzima? Ukuje tu, ila nikikupa namba afu usinicheck, then jiandaeKiss n tell....mtatuogopesha tusijaribu!
Nishajifunza na hili somo....nitahakikisha nasalimia mara moja tuMmmh tumetoa tu mfano jamani, kwani na wewe huwa unasalimia siku nzima? Ukuje tu, ila nikikupa namba afu usinicheck, then jiandae
ha hha pole rafikiDuh nilikuwa napita kimyakimya ila hili dongo limenipata gizani....yalaaa!
Me nishajipanga nipatie namba yako pleaseMuwe mnajipanga basi
hahaha uwe makini kuna kina OtiennoHatari saana.... tukija pm mtukaribishe vizuri
Fanya tu unipe yako, nyie siku hizi tunawapa namba afu hamtutafutiMe nishajipanga nipatie namba yako please