Mmh me moyo wangu bado ninao mwenyewe, bado sijaamua kuuweka kwenye kikapu nimkabidhi mtuHeaven Sent hebu ukuje hapa.
we daby wewe....Dada zetu tunashida wote humu ndani, tunataniana humu ndani sasa tusipowatongoza nyie tutamtongoza nani? Mnataka tushinde humu ila tutongoze FB na badoo? Nyie mtatongozwa na nani sasa si vizuri hivyo bwana, Mtukubalie.
Tunawapenda saana ndiyo maana. Mtu akikutongoza jua kakupenda eti na unapaswa kumkaribisha PM kwa mbwembwe zote.
Mnataka tuwape nini sisi zaidi ya mitongozo iliyotukuka(Gentamcyne)?na wewe uliyenambia haya walai sikuachi nitakuja na ID mpya tu.
"Wanaume wa JF ndivyo mlivyo" sio hivyo sisi tunajua kuwapenda ni woga wenu tu. Nyie tuacheni tuplay role yetu ya kuwa Seduce maana tushakuwa vipusa.
Tuzidi kumwombea Lisu.
Kutongozwa ni kawaida,msipotongozwa mnalalamika.
Upo wewe
Nzuri aseeh, kwani hali ni ngumu hadi kwako?
Oouh,
Karibu nipo na mpango nikuseduce ila usinikaripie wala kuniambia nipambane na hali yangu.
Ni kumshawishi mwanamke akukubali kimapenzi. [emoji3]
Pole mkuuDaah,
Namwachia Mungu hili
Safi sana.Mmh me moyo wangu bado ninao mwenyewe, bado sijaamua kuuweka kwenye kikapu nimkabidhi mtu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Sijawahi kuona wanawake wanaodeka kama hawa wa kwetu hapa.
Hapa ndiyo wamegoma. Nilienda FB kwa week tu watoto hawana shida... hawa wa kwetu sasa! !
Wadada njooni tutete uzi huu hautii mimba.