Wanaume wa JF hamcheleweshi, mnatongoza hovyo kila mnayemwona!

Wanaume wa JF hamcheleweshi, mnatongoza hovyo kila mnayemwona!

Hatusemi kutongoza bali tunachangamsha mdomo...
Hatuwezi kuishi na silaha alafu hata majaribio hazifanyiwi, Kim mwenyewe anajaribu silaha zake sembuse sisi..
Akina dada mtusamehe kama tunawakwaza ila hatuna namna,,,
 
Dada zetu tunashida wote humu ndani, tunataniana humu ndani sasa tusipowatongoza nyie tutamtongoza nani? Mnataka tushinde humu ila tutongoze FB na badoo? Nyie mtatongozwa na nani sasa si vizuri hivyo bwana, Mtukubalie.

Tunawapenda saana ndiyo maana. Mtu akikutongoza jua kakupenda eti na unapaswa kumkaribisha PM kwa mbwembwe zote.

Mnataka tuwape nini sisi zaidi ya mitongozo iliyotukuka(Gentamcyne)?na wewe uliyenambia haya walai sikuachi nitakuja na ID mpya tu.

"Wanaume wa JF ndivyo mlivyo" sio hivyo sisi tunajua kuwapenda ni woga wenu tu. Nyie tuacheni tuplay role yetu ya kuwa Seduce maana tushakuwa vipusa.

Tuzidi kumwombea Lisu.
we daby wewe....
 
Kutongozwa ni kawaida,msipotongozwa mnalalamika.

kutongozwa sio ishu ,huyo mtongozaji ndio ishu ana kuvutia hata ukikaa nae kunywa soda ? maan wengine reception ni shida ,,,ukimuona tu hadi unaanza kubonyeza simu yako nyingine kujipigia kuwa unaongea na mtu ili upate kumwambia uko na dharura....
 
Sijawahi kuona wanawake wanaodeka kama hawa wa kwetu hapa.

Hapa ndiyo wamegoma. Nilienda FB kwa week tu watoto hawana shida... hawa wa kwetu sasa! !

Wadada njooni tutete uzi huu hautii mimba.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Back
Top Bottom