ntarudi....nimesikia mlio wa risasi kwa jiraniWewe unakubali tunatongoza saana au tuendelee bado saana?
Ha ha ha ha mzee najua namna yako ya kutoa taarifa aisee ila sio mbaya nmekuelewa mnoo.[emoji3][emoji3][emoji3]
Mzee huyo nimempa taarifa tu bwana.
BTW, naona bibie kapotea kala ban ya mwaka kutag tag umepunguza
Cc Money Penny
hizi zitakuwa dalili za nini?Ulivyoandika ni kama unazi-miss hizo nyakati za texts bro.
[emoji1] [emoji1]ntarudi....nimesikia mlio wa risasi kwa jirani
Ndiyo zenu hizi fix nyingi
Haya tu nyie.
Dada zetu tunashida wote humu ndani, tunataniana humu ndani sasa tusipowatongoza nyie tutamtongoza nani? Mnataka tushinde humu ila tutongoze FB na badoo? Nyie mtatongozwa na nani sasa si vizuri hivyo bwana, Mtukubalie.
Tunawapenda saana ndiyo maana. Mtu akikutongoza jua kakupenda eti na unapaswa kumkaribisha PM kwa mbwembwe zote.
Mnataka tuwape nini sisi zaidi ya mitongozo iliyotukuka(Gentamcyne)?na wewe uliyenambia haya walai sikuachi nitakuja na ID mpya tu.
"Wanaume wa JF ndivyo mlivyo" sio hivyo sisi tunajua kuwapenda ni woga wenu tu. Nyie tuacheni tuplay role yetu ya kuwa Seduce maana tushakuwa vipusa.
Tuzidi kumwombea Lisu.
Ha ha ha mzee taarifa yake sina kwa kwel ndio kwanza unaniambia kama amekula Ban.Acha zako haha
Alifanya kosa gani?
Aseeh kwa ID hii hii mpya? Maana wengi wanaziogopaKatika uwiano wa kutongoza na kufanikiwa kwa utalaam binasfi, nimefanikiwa kwa asilimia 99%, YANI NAMAANISHA, KWA MFANO NIMETONGOZA 10, 2 WALINIBOA, 8 NILIWAPATA, 2 HAWAKUWA CHAGUA LANGU, NIMEWALA 6.
Aseeh kwa ID hii hii mpya? Maana wengi wanaziogopa
Hakuna wa kukataa nimejipangaIla kukosa kunauma aseeh
Washkaji saana? Daah hata kunimegea mshkaji wako mbinu aseeh.HII MIMI NI MTU MPYA, HAYA NI YA NYUMA KAKA, TENA TULIKUWA WASHKAJI SANA, HUWA NAINGIAGA KULE NA KUCHANGIA KILA WAKATI, HA HA HA, I HOPE SIKU MOJA SITAKOSEA, NDUGU YANGU.
Ha ha ha ha ha very unrespnsive aisee duuh ila uko active au ndio manfongoAlikula ya miezi mingi.
Unresponsive Bae.
hizi zitakuwa dalili za nini?