Wanaume wa JF hamcheleweshi, mnatongoza hovyo kila mnayemwona!

[emoji3][emoji3][emoji3]
Mzee huyo nimempa taarifa tu bwana.

BTW, naona bibie kapotea kala ban ya mwaka kutag tag umepunguza
Cc Money Penny
Ha ha ha ha mzee najua namna yako ya kutoa taarifa aisee ila sio mbaya nmekuelewa mnoo.
Ngoja nimtag dada ako hapa kama hujasikia sentens ya kwanza tuma Mpesa/Tigo Pesa

C.c espy
 


Katika uwiano wa kutongoza na kufanikiwa kwa utalaam binasfi, nimefanikiwa kwa asilimia 99%, YANI NAMAANISHA, KWA MFANO NIMETONGOZA 10, 2 WALINIBOA, 8 NILIWAPATA, 2 HAWAKUWA CHAGUA LANGU, NIMEWALA 6.
 
Katika uwiano wa kutongoza na kufanikiwa kwa utalaam binasfi, nimefanikiwa kwa asilimia 99%, YANI NAMAANISHA, KWA MFANO NIMETONGOZA 10, 2 WALINIBOA, 8 NILIWAPATA, 2 HAWAKUWA CHAGUA LANGU, NIMEWALA 6.
Aseeh kwa ID hii hii mpya? Maana wengi wanaziogopa
 
Aseeh kwa ID hii hii mpya? Maana wengi wanaziogopa

HII MIMI NI MTU MPYA, HAYA NI YA NYUMA KAKA, TENA TULIKUWA WASHKAJI SANA, HUWA NAINGIAGA KULE NA KUCHANGIA KILA WAKATI, HA HA HA, I HOPE SIKU MOJA SITAKOSEA, NDUGU YANGU.
 
HII MIMI NI MTU MPYA, HAYA NI YA NYUMA KAKA, TENA TULIKUWA WASHKAJI SANA, HUWA NAINGIAGA KULE NA KUCHANGIA KILA WAKATI, HA HA HA, I HOPE SIKU MOJA SITAKOSEA, NDUGU YANGU.
Washkaji saana? Daah hata kunimegea mshkaji wako mbinu aseeh.

Nitakudaka kwa rada yangu tu wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…