Heheeeeee halooooookwa nini usiseme tuu kuwa uliliwa na wasamalia wema wakakusaidia kulipa bili,ilitokeaga hiyo moshi dada katumiwa nauli na jamaa,mdada kavuta na shosti wake sasa jamaa hata hakuambiwa,badae wakawa wamefika jamaa alikuwa ofisini akawaambia kama mmekuja wawili tafuteni bar yoyote muanze kupiga kinywaji,mashost wakafurahi1 kama ilivyo kawaida wakawa kama wanakomoa,kama lisaa hivi baadae jamaa kazima simu,mashost walichanganyikiwa kama mvuvi ametoboa mtumbwi katikati ya bahari,ilibidi washkaji wanosoma Mwika chuo cha wanyama pori wa clie bili wakaenda kuwapiga mtungo aka fiesta,wakawapa na nauli ya kurudia kesho
Sasa unadhani kakimbia sababu hana hela? Jiongeze dada.Nkome bibi eeeeh
Sasa dem kama huyu kesho akipigwa mtungo utasema Wanaume wahuni kweli?Mnapenda vya bwerere eeeh! Maisha si kukomoana!
Hapo si ajabu mngejitoa wenyewe mngekunywa Pisner Ice au Balimi mtoto wa watu mkataka kunyonyoa kama kuku wa Christmas!
Ila utakua umejifunza.Habari ndio hiyo
kuwa mkweli tu richaabraHeheeeeee haloooooo
Huyo jamaa mjanja sana maana haiwezekani bill ya 235,000 alipe alone......mie ningekua meneja wa bar nisingewapeleka sentro...guess what kingefata [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]Heheeeee[emoji3] [emoji3] halooo[emoji108] [emoji108] [emoji108]
Jana hiyoo jamaa kwa mda mreeefu alikuwa analia lia pm hapa jf nakupenda nyiingi wakati hanijui na mimi simjuii
Nikaona isiwe tabu naweza nikawa natupa almasi kwenye tundu la choo buree. Hee tukapanga tukutane bar moja hivi kwa maongezi ya hapa na pale ili atoe yake ya rohonii
Mhhh!!! Na mimi nlielewa mapema hapa ni mjini mtoto wa kike unaweza ukajipeleka hovyo hovy tena kwa mtu usie mjua ukaishia kuwekewa madawa kwenye kinywaji then ukaenda kupigwa mzigoo.
Nkasema asintaniie[emoji2] [emoji2] heheeee!! Hallooo[emoji108] [emoji108]
ikanibidi niwachukue mabest zangu wawili watoto wa kizaramo hao "Lailati" na "Asnati kiunofeni" ili wanipe kampani siku hiyo
Tukajipanga kabisa tukifika eneo la tukio siku hiyo hamna kuwa na huruma ya kuagiza vibia vya watoto. Nikawaambia ni mwendo wa kuagiza Heineken/Amarula/Grants+Nyamachoma kwa kwenda mbele yaani ni mwendo wa kumtumbua hadi awe na adabu.
Yote hayoo nikijua vidume vya jf vina pesa chafu. Heheeeeeee[emoji3] [emoji3] [emoji3]
"Kweli usilolijua ni sawa na usiku wa giza wallah"
Ikafika siku ya tukio mtu tatu tumeshajipanga kwenda kumtumbua mtu hapo. Tukawasiliana eneo alilopo na wakati hayo yoote yakiendelea alikuwa hajui kama nna kampani ya rafiki zangu hivyo nilifanya kama surprise yani
Ile kufika hadi meza aliyopo jamaa macho yakamtoka huku akiwa na woga akashangaa mtu tatu zote vipi. Nikamwambia kuwa wale ni mabest zangu hivyo asihofu.
Heheeeeeiyaaaaaaaaaaa[emoji38] [emoji38] [emoji38]
Jamaa akamwita mhudumu atuhudumie vinywaji mda huo huo akamwita na mhudumu wa jikoni na uzuri wa ile bar hawadai hela papo hapo but baada ya matumizi unaletewa bili yako ulipe
Basi mimi nikaagiza Dompo mezani, Asnati akaagiza Heineken mbili baridii mezani na lailati akaagiza Amarula huku tukisubiria nyama ya mbuzi kilo mbili kutoka jikoni.
Yaani ikawa ni mwendo wa kuagiza tu na kama kawaida watoto wa mjini hatulewagi ikawa ni mwendo wa nyama na kinywaji tu yaani funika funua
Heheeeeeee!!! Halloooooooo!!![emoji108] [emoji108]
Ilipofika mida ya usiku wa saa moja jamaa akaletewa bili yake na mhudumu na cha kushangaza ni baada ya kuisoma ile bili alitoa mimacho gafla
Baada ya kuisoma ile bili akatuomba aende kwenye ATM iliyiliyopo eneo la nje karibi na ile bar ili atoe pesa aje alipe ile bili
So nikamwambia asichelewe kurudi ili aje aturudishe nyumbani maana alisema ana usafiri
Heheeeeeeee kumbe bwana yule alituacha pale kama dhamana kumbee bili imemshindaa bwanaa wahudumu wakaja tena kudai chao ikabidi tusiwe na lakufanya tuulizie bili yenyewe sh ngapi cuz bwana yule hata kwenye sim hakupatikana tena
Tukapewa bili ya sh 235,000 ya vinywaji vyote na vyakula. Acha macho yanitokeeee
Kwenye pochi nlikuwa na 5,000 tu ya nauli na bwana yule kashakimbia. Na mashoga zangu nao walikuwa hawana hela so meneja wa bar walinzi ikabidi watupeleke central tulale polisi hadi wadhamini waje walipe deni ili tutoke
Wanaume wa jf hasa wa dar mnatia aibu jamani
Heheeeeeeeeeee!!!!!!!!
Mxieww
kuwa wamefumua marinda huko ili ku clear billUkweli gani mwingine?
Hahaha inawezekanaHeheeee haloooo
Heheeeee[emoji3] [emoji3] halooo[emoji108] [emoji108] [emoji108]
Jana hiyoo jamaa kwa mda mreeefu alikuwa analia lia pm hapa jf nakupenda nyiingi wakati hanijui na mimi simjuii
Nikaona isiwe tabu naweza nikawa natupa almasi kwenye tundu la choo buree. Hee tukapanga tukutane bar moja hivi kwa maongezi ya hapa na pale ili atoe yake ya rohonii
Mhhh!!! Na mimi nlielewa mapema hapa ni mjini mtoto wa kike unaweza ukajipeleka hovyo hovy tena kwa mtu usie mjua ukaishia kuwekewa madawa kwenye kinywaji then ukaenda kupigwa mzigoo.
Nikawaambia ni mwendo wa kuagiza Heineken/Amarula/Grants+Nyamachoma kwa kwenda mbele yaani ni mwendo wa kumtumbua hadi awe na adabu.
Yote hayoo nikijua vidume vya jf vina pesa chafu. Heheeeeeee[emoji3] [emoji3] [emoji3]
"Kweli usilolijua ni sawa na usiku wa giza wallah"
Ikafika siku ya tukio mtu tatu tumeshajipanga kwenda kumtumbua mtu hapo. Tukawasiliana eneo alilopo na wakati hayo yoote yakiendelea alikuwa hajui kama nna kampani ya rafiki zangu hivyo nilifanya kama surprise yani
Ile kufika hadi meza aliyopo jamaa macho yakamtoka huku akiwa na woga akashangaa mtu tatu zote vipi. Nikamwambia kuwa wale ni mabest zangu hivyo asihofu.
Basi mimi nikaagiza Dompo mezani, Asnati akaagiza Heineken mbili baridii mezani na lailati akaagiza Amarula huku tukisubiria nyama ya mbuzi kilo mbili kutoka jikoni.
Yaani ikawa ni mwendo wa kuagiza tu na kama kawaida watoto wa mjini hatulewagi ikawa ni mwendo wa nyama na kinywaji tu yaani funika funua
Heheeeeeee!!! Halloooooooo!!![emoji108] [emoji108]
na tena
Tukapewa bili ya sh 235,000 ya vinywaji vyote na vyakula. Acha macho yanitokeeee
Kwenye pochi nlikuwa na 5,000 tu ya nauli na bwana yule kashakimbia. Na mashoga zangu nao walikuwa hawana hela so
Wanaume wa jf hasa wa dar mnatia aibu jamani
Heheeeeeeeeeee!!!!!!!!
Mxieww