Wanaume wa JF katika tuhuma nzito ya kukimbia bili za bar

Heheeeeee haloooooo
 
Kwahiyo richaabra na wenzako viuno feni,
Kikichowapeleka kwa huyo jamaa ni njaa zenu tu.
Mlikula na mkanywa na mkaja kulipiwa polisi.
Jitahidini sana na hizo njaa zenu
Wanaume bukta mpo wengi humu
 
Huyo jamaa mjanja sana maana haiwezekani bill ya 235,000 alipe alone......mie ningekua meneja wa bar nisingewapeleka sentro...guess what kingefata [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
 
Huyo jamaa mjanja sana maana haiwezekani bill ya 235,000 alipe alone......mie ningekua meneja wa bar nisingewapeleka sentro...guess what kingefata [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
[emoji38] [emoji38]
 

Hapo mnaji 'watotowamjinisha' ila hamna hata sifa moja ya watoto wa mjini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…