Wanaume wa JF katika tuhuma nzito ya kukimbia bili za bar

[emoji144] [emoji144] [emoji144] Hili jina Lairati jamani [emoji125] [emoji125]
 
huwez mkomoa mtu mwny mawe, labda km aamue tu kukufanyia uhuni.....me najua laki5 mcngemaliza, ningewapga ofa hlf nikawakaribisha nxt tym, hlf ht issue ya kukupga 'p' ncngekugusia kwnz!
 
Heeee kwani hujui hawana pesa?
Hata chumba cha gest wanakutegemea uwalipie;
Labda angekuwa ni Jamal Malinzi, wengi wengine ni
wanaume sarawali tu.

Hebu mtaje;
 
Hasa kumbe hata nyie wenyewe hata za kujikombolea hamna? Kwa mtaji huu acha tutorokwe tu....
 
huwez mkomoa mtu mwny mawe, labda km aamue tu kukufanyia uhuni.....me najua laki5 mcngemaliza, ningewapga ofa hlf nikawakaribisha nxt tym, hlf ht issue ya kukupga 'p' ncngekugusia kwnz!
.....baada ya hapo ningewagegeda mmoja baada ya mwngne, tena baada ya ww najua angefuata Lairati[emoji2]
 
Ata we we unatia aibu utatumiaje 230000 alafu una 5000. Tu at a kama ni ofa. Ukweli umejishusha nzalaa inakusumbua
 
Kazi kuteteana tu

Ndio maana nikaja na mashost zangu kuukwepa huo mtungo
We unafikiri angekulipia bili hiyo ungeachwa hivihivi ata kama mpo tim mzima lazima ungepigwa nyingi Ata hivyo ujamalizia nan alikutoa police inaonekana meneja alikufuga ukawa Kama mkewe mpaka den likaisha
 
Angeusoma mchezo mapema akajua kuna posibility ya kuachiwa bili akajiongeza kwa kpa kampani ya kwenda benki[emoji12]
Hiyo akili ilikuwa ishachukuliwa na gambe
 
Mara nyingi wanawake wanaofanya hvo huwa hawajielewi,na ndo mana huwa wanagongwa na kuachwa kwasababu tayar mwanzon tu wanaonesha ni watu wa matumiz tu na sio malengo. NA MTALIWA TU HAMNA NAMNA NYINGINE
 

Hata mi ningewaambia mpige hivyo vinywaji muongeze maradufu mpaka bill ifike 1m then nitoroke vizuri.. waitwa mwenyewe wachukua rafiki zako sasa kama jamaa angehitaji mzigo marafiki zako wangekuwa tayari kutoa kukusaidia pengine wamekula hata zaidi yako mlengwa.. kuweni wastaarabu uzuri wa wenzetu weupe wa kule mbali wasichana wao hawakubali kulipiwa bill they do contribute bana hata umwambie unamtoa out na kama hujaalika marafiki zake hawezi kuja nao hata kidogo.. they have discipline.

Mjifunze.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…