Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadithi yako umejitahidi kutunga na umejaribu kuvaa uhusika wa mwanamke mchunaji asiye na akili...siamini kuwa wew unaweza fanya hivyo sababu nakuheshimu.Bado weweeee
Ndio maana nakuzimia siku nikikuita uje peke yakoAta mimi ningekukimbia!!! Hayo mengine majaribu na uonevu aisee!!! [emoji23][emoji23]
Nijishtukie kwa lipi labda!!!Ndio ww nn maana sio kwa kujishtukia huko
Bora umesema wewe mtoto wa kike. Angesema wa kiume wangemshushua. Mtu umeitwa peke yako, iweje uende na kijiji. Maongezi mengine ni ya faragha, haina haja ya iuja na mashosti zako. Hata hivyo 235,000/- per session kwa watu watatu walikuwa anamkomoa jamaa wa JF ama?Ata mimi ningekukimbia!!! Hayo mengine majaribu na uonevu aisee!!! [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Bratan huyu unaweza kumwita guest still akaja na rafiki zake..Bure kabisa
hahahhhh mtungo tenaSasa dem kama huyu kesho akipigwa mtungo utasema Wanaume wahuni kweli?