Sehemu gani nizijue kama hautojali.Mimi huwa sikutani na hao matapeli Kuna sehemu za heshima za watu wanao jielewa hafu huwa staki mazoea na vijana
Oouh...
Ila kutongozwa baraka, right?
Kwa hiyo wanawake wa JF kwa namna nyingine nyie sio wa level zetu?...Mbaki kuwa mashemeji
Kwenye party wanatajiana IDs?Najua baada ya party kufanyika watu watasemana mpk kukimbia ID
Anyway , that's how you programmed your brain....Kutongozwa sio baraka ni usumbufu mkuu. Wapo wa level ya chini mpaka juu mkuu so it depends na mtu, so I prefer dating someone I know better
Ninazoooo.Hahaaaaa msema kweli mpenzi wa Mungu. Una hela lakini
@MWIFWA nakusalimuDuh hio miwani na sura ngumu kama inanihusu vileee...
Wala huyu mpenzi wangu.Ndo huyo kwenye avatar yako??
Yeah my babe...nampenda sana yeyeHuyo kwa avatar ndio bebez
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sanaaAnaitwa siasa...
Kuna mdada wa JF anaitwa mama mkubwa alikutana na mwanamme anapua kubwa haienei kwenye camera..
Hahaha... Wabongo bhana.
Upo?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sanaa
Hahaaaaa kila mtu anazo humu JFNinazoooo.
Unaona sasa watu tupo siriasi,wewe unaleta blahblah.Hahaaaaa kila mtu anazo humu JF
HihiiiiiiiiiiiiiiiiiBora mnaokutana, wengine naona tuna nuksi mtaani mpaka Jf!
Wala huyu mpenzi wangu.
Yupo Jf.
Yeah my babe...nampenda sana yeye
Hahaaaaha.Njoo kwangu upate huduma za kweli, Sina bla blaa
ZinavutiaNdio
Hahaaaaaaaa ...........Mie sina hata hamu na wanaume wa humu.
Nimekutana na mkaka akasema anamiliki kampuni...hahahhah
Chinekeeee.
Bora hata mie ninayemiliki makalio.
Yule kaka sijui kaniblock, simuoni kabisa jukwaani.
Zinavutia