Wanaume wa JF mnajishushia CV zenu kwa wadada. Kuweni real, acheni fake life

Wanaume wa JF mnajishushia CV zenu kwa wadada. Kuweni real, acheni fake life

Hahaaaaa aisee mbona anatabia za kijinga hivi au ni hanisi sasa anaringishia picha za watu Ili Iweje huo sasa ni utoto usio na kifani. Sasa unywaranda nao ni deal jamani hahaaaaa jamii forum Kuna mambo walah aache utoto jamani. Na hamu nimjue mana tabia za kishoga kishoga hzo
Sikuwahi kujua kama huwa anasambaza picha za watu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo Jamaa wa arusha ulomsema mi namjua sana ana fix Hugo.aliniambia nimtumie account ya dola.daah nikamuambia me sitaki hela yako bna.
Tukakaa akajisahau akaniambia anaomba nimkopeshe elfu 50 nikamuambia anitumie account ya euro.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ulimkomesha.
Ila nimeshamjua ila ni mkopaji na mlipaji mzuri tu.
 
Uongo si jambo jema Kama mtu hakukubali atapatikana anaekukubali.
Vijana Bado tunatafuta maisha mtuvumilie.
 
Mda mwingine najikuta namshukuru Sana mungu wangu kwa kunipa roho ya kujituliza maana mengine yanauma Sana apa sisi asilimia 90 wamepatwa na nyuzi hii I'll bwana mda mwingine mi mnanikera mnaojisifia neno chura wakati tunalilia wembambanwengine yaani chura yoyote simtaki mi ata kwenye kusaport nyuz zangu jamni[emoji848][emoji848][emoji848]
FB_IMG_1544354284606.jpeg
 
Mama Sabrina namkubaligi Sana katika online popote pale hivi eti ntampataje embu wanna jf mshaurini Ani pm maana mi kumshobokeaga guy mda mwingine najuta
 
Hahahhahahah.....huenda
Akajitapa ana kampuni ya tours sijui kapiga picha ofisi ya mtu atajijua yeye huko Arusha.

Ghafla anataka kuja Dar kunitembelea, kupiga mahesabu ya gharama za kukaa wiki hotel + chakula + vinywaji + ya usumbufu wangu ([emoji5][emoji5][emoji5]) ikaja Mil 1.9 na senti.

Jamaa akasema anaenda kuchenchi pesa Bureau de change huko huko Arusha.....mpaka leo hajarudi pm wala wasap, itakuwa kuna foleni mpaka leo huko dukani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nyoooooo.....anadhani matumizi ni kama matako, kila mtu anayo!!![emoji41][emoji41][emoji41]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji187][emoji187][emoji187]na wewe bado unamsubiria labda[emoji932][emoji932][emoji932][emoji932][emoji932]
 
Hapa najiuliza ntaipandishaje tena CV yangu.???

Ngoja nipaki BMW yangu nisome comment vizuri maana iPhone bila cover huwa zinateleza siwezi endesha gari vizuri.

Though, Machalii wa chuGa tumewamanya.
 
Da Jane ina maana umekutana na wanaume sampuli zote hizo wa Jf? Hapo bado wa mtaani Kwako, kazini na fb. Khaaaa, hata kama kudanga, hii ni soooo
 
Hahahhha
Akija najisaidia mafungu mafungu mpaka kwetu Lushoto.
Huwa najiuliza ni wangapi anaowapa uongo kama huu?
Wangapi wameingia kwenye 18 zake na akawalala kwa sytle hii?

Ila yule kaka mzuri sana ila aache kufake life.
Kwahiyo ulishameet nae ukauona uzuri wake
 
Inaonekana huyu jamaa yetu wa chuga amewatafuna sana
Huyo boya wa Arusha alikua anajifanya anamjua kila mtu akiotea picha yako anatambishia kwa watu anakujua

Jamaa lenyewe linajidai linyarwanda
 
Back
Top Bottom