Wanaume wa JF mnajishushia CV zenu kwa wadada. Kuweni real, acheni fake life

Sisi ambao tuko real, tunavyo vile tunavyovisema na bado tunakimbizana nanyi for months bila hata kuonana tunacomment wapi??
 
Unalitumia jina lako vizuri mkuu.. Pongezi sana
 
Dah kweli bhana.

Mambo ya kufeki maisha tuwaachie wanawake bhana.
 
Mie sina hata hamu na wanaume wa humu.
Nimekutana na mkaka akasema anamiliki kampuni...hahahhah
Chinekeeee.

Bora hata mie ninayemiliki makalio.
Yule kaka sijui kaniblock, simuoni kabisa jukwaani.
Hahahhaa alikupiga sound eeh... Pole sana bibie
 
Pamoja na maelezo yooote lipo jamaa ninakupulia juu
Hii jamii ya watu ambao mwezi huwa unaandama huwa suna hasira nao usipowadanganya hawakuelewi eleweni tu kuwa wanaume husema neno moja tu la ukweli nalo ni "Panua" mengine yote si lazima yawe ya kweli kama hayalengi utoa Kipochi.
Na mwanaume kuwa na nywele brown za kwapa ndio Udume huo mbona wenzako wanasema ' I love that ba baby' Au nao huwa wanatudatisha tu ili Salio litoke?
Nisilopenda kwenu ni hili
Kwanini mnakuwa na hotuba wakati wa kugegedwa? Mara aaaah miguno kibao maneno ya kulalamika. Silence needed . Mzee niko kwa job. Acha mashine iongee na mwenzake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…