Wanaume wa JF mnajishushia CV zenu kwa wadada. Kuweni real, acheni fake life

Wanaume wa JF mnajishushia CV zenu kwa wadada. Kuweni real, acheni fake life

Napenda Kuwa na marafiki waliozidi kila kitu had dhambi mkuu, na siwezi kuzoeana na watu waongea pumba kwanza nakuwa kimya zangu.
So ndo nilivo life style langu na wala sijawahi gombana na mtu mie I'm always cool with my life. Ni vile to our society is judgemental so I don't care about what people think about me. Kwanza had tu gombane nikishakujua tabia zako nakiweka mbali. Mi marafiki zangu ni watu tunaoendana tabia na mitizamo
Are you dating?
 
Hahaha mpee hii hash tag
Kulingana akilia au elimu?
Anyway,

Naliona tatizo kwako zaidi kuliko kueleza matatizo ya wengine.

Maisha ni rahisi sana, hayahitaji kuwa serious sana.

Utagombana na watu wengi km utajiona wewe ni very special.

Twahitaji kuwa watu bora, ila tusipende kuonesha kuwa sisi bora.
#amkainakusubiridunia
 
Mkuu naomba ujifundishe kuongea uongo mtupu kwa wanawake, itakusaidia utawapata kirahisi bila kutumia nguvu nyingi.

Usijisikie vibaya kumwambia uongo mpk unajiskia vibaya jinsi unavyomdanganya.
Yani hapo ndo anafurahi unamweleza ukweli.
Hahaha....

Ngoja nianze kujifunza.

-Ninamiliki maduka 4 ya € Arusha makao mapya.

-Nina kampuni kubwa nne za usafirishaji na utalii.

-Nisaidie kuwaambia warembo nimechoka kwa kazi sekretari wangu atawatumia pesa sekunde chache zijazo.....

Hahaha....Mzee baba sifananii.
 
Exactly jamaa anawaita vikongwe...akimtengenezea mazingira Demu hachomoki na akifeli ni ASILIMIA Chache Sana.anasema ameingia kwenye mdomo WA mamba.ana visa KIBAO sema kuandika hapa ndo tatizo...siku hiyo anameet na Demu alivaa kitambulisho fake akakigeuza vile vya shingoni...
Hahah huyo jamaa ningekuwa nae karibu ningekuwa nacheka sana maana wana story sana wazee wa kabobo!
 
Duh we kweli balaa zito,yaani kila mwanaume anayekuvutia ki-CV lazima mtafutane muonane ili myajenge

Inavyoonekana unashoboka sana na mijitu yenye CV zilizoshiba eeeeeh,manake si kwa kukutana nao huko,wangekuwa na CV bomba kama walivyojinasibu inavyoonekana wote wangekupitia

Mwisho na wewe acha kuwa mshobokaji,hivyo tu
Shikamoo sugu
 
Sasa hili ndo nilikua nalitaka.

Mwambien sasa mtoa mada ,mwanamke mwenzako kua TUVUMILIANE.

Kinyume nahapo..wakat wanaume wanasemwa hawana pesa sijui elimu sijui n.k n.k.... Nanyie mjijue kua Hamna sura nzur, wala hamna makalio ,wala hamna miguu ilojaa, wala hamna maumbo mazuri mazuri kwaufupi na nyie ni Wabovu. Kiuno hakieleweki kiko wapi, mgongo haujulikan.


Mnashangaza sana.....sasa niivi mwanamke LAZIMA UWE MZURI .
Sijawai kuona mwanamke aliekosa vyote yaani sura ,umbo ,tako au mguu
So unataka kuniambia wanawake wa jf ni ziro ziro ahahaaa pole zetu maskini sie
 
Hahahahahahahaa. Ila wewe hunaga akili. Eti ya usumbufu wako. Hahahahaha.
Hahahhahahah.....huenda
Akajitapa ana kampuni ya tours sijui kapiga picha ofisi ya mtu atajijua yeye huko Arusha.

Ghafla anataka kuja Dar kunitembelea, kupiga mahesabu ya gharama za kukaa wiki hotel + chakula + vinywaji + ya usumbufu wangu ([emoji5][emoji5][emoji5]) ikaja Mil 1.9 na senti.

Jamaa akasema anaenda kuchenchi pesa Bureau de change huko huko Arusha.....mpaka leo hajarudi pm wala wasap, itakuwa kuna foleni mpaka leo huko dukani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nyoooooo.....anadhani matumizi ni kama matako, kila mtu anayo!!![emoji41][emoji41][emoji41]
 
miminimkulimaakachekasana

Shida ilianzia hapa, Madem wa JF wote mnajitia wazuri kumbe hamna kitu.

Wote mnajitia mnakazi nzuri, biashara, kumbe hamna kitu

Wote mnajitia mnanyumba /mmepanga Apartment ..kumbe Hamna kitu.


Sasa ,kikawaida, Ukitaka kumfanya Malikia Akupende. Inabidi uishi kifalme .

Ndio sababu, Wanaume pia wameamua kuwaishi ivo sababu, mnapenda mapicha mapicha.

Na niseme tu ukweli huu....WENGI HUMU MMEGONGWA PASIPO HATA KUTARAJIA KAMA UNGEGONGWA NA MUHUNI ASOKUA NAKITU ISIPOKUA ULIPENDA MAPICHA MAPICHA YAKAKUINGIZA MJINI.
Mwisho mmeishia
[emoji117]Kubadili ID
[emoji117]kupunguza kasi ya uchangiaji
[emoji117]kuwachukia watu bila sababu
[emoji117]msobadili ID ,mmejikuta mnachat humu lkn Uku unajistukia stukia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


VUMILIENI.....NA MTAENDELEA KUGONGWA TU .

Jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom