Wanaume wa JF mnisamehe jomooni

Wanaume wa JF mnisamehe jomooni

Mama Sabrina

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
16,620
Reaction score
27,589
Nilifungua ule uzi wa kuwasimanga kama kawaida yenu mnavyotusimanga wanawake wa jf,,wengine mapovu ya uhakika halaf hata nguo chafu sina,niliyaoga tu hakuna namna.
Siku hiyo kuna mwanaume akanifata akaniambia kweli mama Sabrina sisi tunafanana na hamorapa kweli?.akarudia tena kweli??mbona we mwanamke upo hivyo ,kiukweli kuitazama ile id ni ya muda mrefu tu ila kaka watu hapendi kupost anasoma tu basi, nikamuambia ni utani tu wala usijali kabisa ndio akanielewa ,maana aliongea kihuzuni kweli kama angekuwa karibu hata ningempa ziwa anyonye tu yaan kaongea kiupole na kihuruma kweli haamini jomoniiii.

Lahaulaa!!!!yule mwanaume maana sio mvulana akanitumia picha yake wallah nikadata ghafla nikastak kwa muda hivi ,mwanaume ana rangi ya dhahabu yule anang'aa sikuamini Yailah!!!! mpaka nikajikuta nimetoa namba hata bila kuombwa ,ana macho mazuri,pua ndefu,midomo ya kulamba lips zake tamu kiukweli[emoji8][emoji8]
Nikasema kumbe jf hawavumi lakin wamo eee kiukweli we mwanaume ni handsome unafaa yaan unang'aa hata umeme siuhitaji tena ,unaonekana mtamu sana wewe ,basi kaka watu akanipandia hewani namba inaanzia +1 wengi mnajua hiyo code ya wapi,kaka ana sauti nzuri sijawah sikia mimi ,profile kwake kaweka picha yake nyingine ,nahisi napotezwa mimi naomba mniweke kwenye maombi yenu tafadhali maana huyu kaka anakuja mwezi ujao tu hivi kweli wanajf ntapindua kweli?na mnavojua mimi na wakaka mahandsome damu damu,sijalala jana usiku kucha naongea na simu tu,asubuhi na penyewe kanipigia nimechizika hapa sijielewi ,kuna wanaume wana mvuto wa ajabu,msinilaumu sana mlaumuni yule mwanaume kajitoa muhanga kuonyesha kuwa kuna wanaume wazuri humu ila wamenyamaza kimyaa tuseme ni (low profile).Basi hapa hata wale wenye sura ngumu nao watajitazama kwenye kioo leo mara mbili mbili hawaamini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kwa niaba ya yule mwanaume (simtaji jina jamani ni siri yangu na hapendi kujulikana )naomba msamaha sitorudia kabisa kusema nyinyi mna sura ngumu nadhani mlininukuu vibaya nimefuta kauli kuanzia leo ,kama lolote likitokea naamini sitawaangusha wanawake wa jf [emoji23][emoji23][emoji23] maana kuna vitu kuviacha ni dhambi kubwa hata Mungu atanishangaa,we kaka unaeishi jimbo la M................. kwa Trump nimekukumbali vibaya na hilo lisauti la kufanya kisima kijae maji hakika umenikamata ,safari hii nimekamatika hadi Docta kazidiwa sijaamini nyie[emoji22][emoji22][emoji22] huyu kaka akisema toka jf natoka tu,toka chit chat natoka ,akisema nimpe password nampa tu ntafanyaje sasa nahisi kurogwa mimi

(Sitomtaja jina kabisa kwa hiyo sitegemei kuulizwa jina)
Na leo mkitoa mapovu nimewasifia mtanitambua wiki ijayo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Khaaa...!!

images
 
Nilifungua ule uzi wa kuwasimanga kama kawaida yenu mnavyotusimanga wanawake wa jf,,wengine mapovu ya uhakika halaf hata nguo chafu sina,niliyaoga tu hakuna namna.
Siku hiyo kuna mwanaume akanifata akaniambia kweli mama Sabrina sisi tunafanana na hamorapa kweli?.akarudia tena kweli??mbona we mwanamke upo hivyo ,kiukweli kuitazama ile id ni ya muda mrefu tu ila kaka watu hapendi kupost anasoma tu basi, nikamuambia ni utani tu wala usijali kabisa ndio akanielewa ,maana aliongea kihuzuni kweli kama angekuwa karibu hata ningempa ziwa anyonye tu yaan kaongea kiupole na kihuruma kweli haamini jomoniiii.

Lahaulaa!!!!yule mwanaume maana sio mvulana akanitumia picha yake wallah nikadata ghafla nikastak kwa muda hivi ,mwanaume ana rangi ya dhahabu yule anang'aa sikuamini Yailah!!!! mpaka nikajikuta nimetoa namba hata bila kuombwa ,ana macho mazuri,pua ndefu,midomo ya kulamba lips zake tamu kiukweli[emoji8][emoji8]
Nikasema kumbe jf hawavumi lakin wamo eee kiukweli we mwanaume ni handsome unafaa yaan unang'aa hata umeme siuhitaji tena ,unaonekana mtamu sana wewe ,basi kaka watu akanipandia hewani namba inaanzia +1 wengi mnajua hiyo code ya wapi,kaka ana sauti nzuri sijawah sikia mimi ,profile kwake kaweka picha yake nyingine ,nahisi napotezwa mimi naomba mniweke kwenye maombi yenu tafadhali maana huyu kaka anakuja mwezi ujao tu hivi kweli wanajf ntapindua kweli?na mnavojua mimi na wakaka mahandsome damu damu,sijalala jana usiku kucha naongea na simu tu,asubuhi na penyewe kanipigia nimechizika hapa sijielewi ,kuna wanaume wana mvuto wa ajabu,msinilaumu sana mlaumuni yule mwanaume kajitoa muhanga kuonyesha kuwa kuna wanaume wazuri humu ila wamenyamaza kimyaa tuseme ni (low profile).

Kwa niaba ya yule mwanaume (simtaji jina jamani ni siri yangu na hapendi kujulikana )naomba msamaha sitorudia kabisa kusema nyinyi mna sura ngumu nadhani mlininukuu vibaya nimefuta kauli kuanzia leo ,kama lolote likitokea naamini sitawaangusha wanawake wa jf [emoji23][emoji23][emoji23] maana kuna vitu kuviacha ni dhambi kubwa hata Mungu atanishangaa,we kaka unaeishi jimbo la M................. kwa Trump nimekukumbali vibaya na hilo lisauti la kufanya kisima kijae maji hakika umenikamata ,safari hii nimekamatika hadi Docta kazidiwa sijaamini nyie[emoji22][emoji22][emoji22]

(Sitomtaja jina kabisa kwa hiyo sitegemei kuulizwa jina)
Na leo mkitoa mapovu nimewasifia mtanitambua wiki ijayo[emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe Lengu la Uzi wako ilikuwa kutafuta mwanaume ? Hongera kwa kupata?
 
Yaan wee ndio umeqoute uzi wote huwezi tu kupost?
We hujui mwanaume akikutana na mwanamke nini kinafata unadhan sisi majiwe au?
Hongera Umeshakutana naye au Umemuona kwenye Picha Tu ? Au kiswahili cha humu nitfauti na Kiswahili halisi? Kuna mahala umesema anakuja siku fulani kwa hiyo kwangu hamjakutana zaidi ya hiyo Picha iliyotumwa
 
Yaan wee ndio umeqoute uzi wote huwezi tu kupost?
We hujui mwanaume akikutana na mwanamke nini kinafata unadhan sisi majiwe au?
Mimi Kuna Mdada alinitumia Picha yake whatsapp duu mtoto mashalaa rangi ya Mtume nikasema kama kweli hivi ndivyo alivyo basi sitageuka Nyuma, Rahaula alivyoonekana live nilitamani kuzima simu ila nilijipa Moyo konde ili nimuangalie kwa ukaribu.. Hizo 360 Camera Jamani hata Mzimu unaweza kuwa Malaika .... Mungu anatuona
 
Back
Top Bottom