Wanaume wa JF mnisamehe jomooni

Wanaume wa JF mnisamehe jomooni

Mimi Kuna Mdada alinitumia Picha yake whatsapp duu mtoto mashalaa rangi ya Mtume nikasema kama kweli hivi ndivyo alivyo basi sitageuka Nyuma, Rahaula alivyoonekana live nilitamani kuzima simu ila nilijipa Moyo konde ili nimuangalie kwa ukaribu.. Hizo 360 Camera Jamani hata Mzimu unaweza kuwa Malaika .... Mungu anatuona
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
05aeffa381f777b768269f3cab72d96d.jpg


Asubuhi kitanda kitakuwa hivyo
Dadadeeeki. Hata shetani atashangaa
 
Back
Top Bottom