Wanaume wa JF mnisamehe jomooni

Wanaume wa JF mnisamehe jomooni

Kweli Hamorapa anajulukana,huyo HB kusikia kuwa sisi wanajf wakiume tunafanana na Rapa boy ndo kamaind hivyo angali yupo kwa Tramp!
Yes halaf la ukweli nilifurahia alivyonimaind kiukweli
 
.....
Nilifungua ule uzi wa kuwasimanga kama kawaida yenu mnavyotusimanga wanawake wa jf,,wengine mapovu ya uhakika halaf hata nguo chafu sina,niliyaoga tu hakuna namna.
Siku hiyo kuna mwanaume akanifata akaniambia kweli mama Sabrina sisi tunafanana na hamorapa kweli?.akarudia tena kweli??mbona we mwanamke upo hivyo ,kiukweli kuitazama ile id ni ya muda mrefu tu ila kaka watu hapendi kupost anasoma tu basi, nikamuambia ni utani tu wala usijali kabisa ndio akanielewa ,maana aliongea kihuzuni kweli kama angekuwa karibu hata ningempa ziwa anyonye tu yaan kaongea kiupole na kihuruma kweli haamini jomoniiii....."

"Lahaulaa!!!!yule mwanaume maana sio mvulana akanitumia picha yake wallah nikadata ghafla nikastak kwa muda hivi ,mwanaume ana rangi ya dhahabu yule anang'aa sikuamini Yailah!!!! mpaka nikajikuta nimetoa namba hata bila kuombwa ,ana macho mazuri,pua ndefu,midomo ya kulamba lips zake tamu kiukweli[emoji8][emoji8]
Nikasema kumbe jf hawavumi lakin..."

..."(Sitomtaja jina kabisa kwa hiyo sitegemei kuulizwa jina)
Na leo mkitoa mapovu nimewasifia mtanitambua wiki ijayo[emoji23][emoji23][emoji23]
....."
Kwa "advertisement" hii uliyoifanya, nagundua kwamba kwanini mwanaume mmoja anaweza akajikuta anatembea na marafiki wote wa mpenzi wake...

Maana si kwa kumsifia huko aiseeeh...
 
Back
Top Bottom