Wanaume wa JF muwe mnatuma nauli mkitaka kuonana na warembo mwenzenu kanitia hasara!

Hehehehe Aninamba ne anaturu muwanoko inye kumatanula, namunyooshile mikono 😭😭
 
Nimejifunza kutokana na makosa dada angu ila huwa inategemea mtu na mtu kama asingeniyeyusha nisingemdai
Mungu ni mwema nipo salama ....

Naona umelalama weeeee ...usirudie tena kutumia pesa yako kwa imani ya utalipwa ni lazima anaehitaji kukuona akutumie nauli na si vinginevyo my dada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…