Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Ulihama Mtwara lini?
Kuanzia leo naomba mjue mimi naishi HOMBOLO village.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuanzia leo naomba mjue mimi naishi HOMBOLO village.
yaan kwakweli nimewafuatilia nikashindwa kuvumilia nikaona niteme tu nyongo yanguUmewafuatilia kimya kimya ukaona sasa bora useme tu hahaaaaa......
Morning dear ...umeamkajeMorning baeeeee
Demiss,... Njoo unisaidie kutumia mshahara wangu umeingia. Leo nitakuwepo: VETA hotel mida hii ya asubuh na jioni nitakuwa Stela bar Nkuhungu.
Karibu
View attachment 1078779
Mungu ni mwema nipo salama ....Salama mpenzi sijui wewe
Mungu ni mwema nipo salama ....
Naona umelalama weeeee ...usirudie tena kutumia pesa yako kwa imani ya utalipwa ni lazima anaehitaji kukuona akutumie nauli na si vinginevyo my dada
Demis nilikuwa niko radhi kuja hadi dom ila una dalili zote za kuwa cheche!
Najivua gamba
Hahahaha pole dearNimejifunza kutokana na makosa dada angu ila huwa inategemea mtu na mtu kama asingeniyeyusha nisingemdai
HahahaaaaRelax, Tulia Demiss, Nataka Nikununulie BMW X6, Umepitia mengi mama kuiba sabuni za guest, nakupita na DSTV mgongoni kwa kujifunika na shuka la kimasai pale guest bhado kuzulumiwa laki nane na shombe la kisomali sijui hapo dodoma.
Mimi nataka nirejeshe furaha yako.
Yaani hajaacha kitu anakujua mwanzo mwisho mi naomba untajie tu huyu mtu alokuchomesha mahindiHahahahahah inaonekana huyu member ananifatiliaga mwanzo mwisho [emoji23][emoji23][emoji23]