Wanaume wa JF muwe mnatuma nauli mkitaka kuonana na warembo mwenzenu kanitia hasara!

Usiwe na wasi. Watu wamekuelewa vizuri. Watakuja PM na hatimaye kukutumia pesa. Usiwadhulumu lakini. Wahudumie wote...
Nimejifunza kutokana na makosa dada angu ila huwa inategemea mtu na mtu kama asingeniyeyusha nisingemdai
 
Mganga alikuwa ananipenda kama wewe alikuwa ananionea huruma sna kaz ikabid atumie mbinu ya mapenzi ili kuniweka sawa namshukuru saiv ni muajiriwa wa magufuli hicho tu alichokuwwa anakitaka mganga.

Pia tukijisikia huwa tunapasha kiporo .
Nakupenda ndio maana lazima nikujue kiundani.
Bhado sijapata jibu kwanini uliachana na mganga.

Sent from my HTC_D816x using JamiiForums mobile app
 
Mganga alikuwa ananipenda kama wewe alikuwa ananionea huruma sna kaz ikabid atumie mbinu ya mapenzi ili kuniweka sawa namshukuru saiv ni muajiriwa wa magufuli hicho tu alichokuwwa anakitaka mganga.

Pia tukijisikia huwa tunapasha kiporo .
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]jamaniii!!!mganga kumbe ni mtu sana ehh
 
Acha kuwa cheap, hafu ishu zingine hela unatumia za kwako kuna siku utapewa nyingi
 
Duh, kumbe asee!
Ngoja nitupe nyavu na mimi isipokuwa na mashaka na mbunye mganga anazopitia unashangaa kesho unaamka mashine haipo. Ohoooo! Itabidi nipitie pangani kabla ya mashambulizi kuanza.
Mganga alikuwa ananipenda kama wewe alikuwa ananionea huruma sna kaz ikabid atumie mbinu ya mapenzi ili kuniweka sawa namshukuru saiv ni muajiriwa wa magufuli hicho tu alichokuwwa anakitaka mganga.

Pia tukijisikia huwa tunapasha kiporo .

Sent from my HTC_D816x using JamiiForums mobile app
 
Mganga alikuwa ananipenda kama wewe alikuwa ananionea huruma sna kaz ikabid atumie mbinu ya mapenzi ili kuniweka sawa namshukuru saiv ni muajiriwa wa magufuli hicho tu alichokuwwa anakitaka mganga.

Pia tukijisikia huwa tunapasha kiporo .
Apart from everything, Mshanajr did a very good thing...
Kudos to him.
Kudos to you too for being thankful.
 
Hivi saiv naringa mjini sababu ni yeye ndugu hapa kamshahara kameingia toka tarehe 18 bado sijakatoa hata wanichambe vip kihela cha kudunda nacho kipo siyo kama zaman
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]jamaniii!!!mganga kumbe ni mtu sana ehh
 
Labda shost nilikimbiwa kijanjaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanini hamkuonana na ulienda kwa ajili yake?[emoji13][emoji13]au alikukimbia?
 
Wewe acha tu yani siku yeyote akiomba kiporo naenda bila hata kumuomba nauli
Duh, kumbe asee!
Ngoja nitupe nyavu na mimi isipokuwa na mashaka na mbunye mganga anazopitia unashangaa kesho unaamka mashine haipo. Ohoooo! Itabidi nipitie pangani kabla ya mashambulizi kuanza.

Sent from my HTC_D816x using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…