Wanaume wa JF muwe mnatuma nauli mkitaka kuonana na warembo mwenzenu kanitia hasara!

Aisee eti Demiss ya kweli haya nijuavyo hii mada si ukweli bali kuchangamshana ila umemdhalilisha kwa kweli 😒😒😒😒😒
 
Na sisi Wa Mtumba Tunatuma nauli au Nitume baisikelii
 
Wewe ndo utanikimbia ndugu maana natishaaa
Ha ha ha ntakua ke ninapotak kuja kukuona ila nikifika tu nakuwa dume LA nyani, sijui utanikimbia Mchana kweupe
 
Chunusi alizokua nazo zimemwisha maana anajichubua sana plus ni mfupi mno..

Uweupe wake ni wa kujichubua aisee...
 
Aisee eti Demiss ya kweli haya nijuavyo hii mada si ukweli bali kuchangamshana ila umemdhalilisha kwa kweli 😒😒😒😒😒
Hapana sijamdhalilisha, huyu jamaa baada ya kuona comment yangu akanifuata pm akacheka Sana akasema kwa ambao hawamjui dada wanaweza Kusema matawi ya juu mno, nilivoona Kuna mwingine ameniquote kuwa anamfahamu ikabidi nimfuate chumbani tulinganishe taarifa za nilizopewa Jana ...namba ni ileile na anasema yeye ila kina mshikaji wake kamla na wanegoogle mpka sehemu anapofanyia kazi....,
 
Ulijuaje mm mpaka kongo nimeshafika unachezea maroli weyeee nilikuwa nauza karanga barabaran nikabebwa na maroli mpaka leo
Si nyie wa singida mnapandaga malori tank ya mafta lazima umejiongeza hapo dar itakuona Lori likishusha mzigo bujumbura
 
Umeona eeh maisha magumu
Jaman enzi zile watoto wa Hombolo LGTI ndo walifaidi lakini tangu msimu huu uingiee hamna mambo si mlaumu huyo kaka..kwenda mjini ilikua ni kama unaenda chooni kupanda shabiby na super baraka ni kama kuvaa kandambili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…