Wanaume wa JF muwe mnatuma nauli mkitaka kuonana na warembo mwenzenu kanitia hasara!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli mkuu ukiwa mwizi lazma uwe mnyenyekevu na mstaarabu Sana sehemu unayokaa, huyu dada katembea na asilimia kubwa ya member wa humu wanaoenda Dom...taarifa zake wanazo anavoanika ujinga watu wanamuona usidhani wanamuacha hivihivi....namuonea hurumaanaweza kupoteza kazi kijinga Sana,...zitarushwa video humu aanze kulialia..
 
Kalete na ile I'd yako nyingine ikusuport pakashume wewe.
Mmezoea kukalia wadada vichwani humu kwamba ni malaya sasa leo utashika adabu .
Au yule jamaa ni wewe?

Jamani anayetaka kumjua mhusika aje pm . Namwaga mboga. Fekero zako zimekuponza.
 
Kalete na ile I'd yako nyingine ikusuport pakashume wewe.
Mmezoea kukalia wadada vichwani humu kwamba ni malaya sasa leo utashika adabu .
Au yule jamaa ni wewe?

Jamani anayetaka kumjua mhusika aje pm . Namwaga mboga. Fekero zako zimekuponza.
Nakuja[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Kwahiyo hao waliotembea nae ni wajanja ila yeye ndio mjinga!!! Maaaan get a life.
 
Kalete na ile I'd yako nyingine ikusuport pakashume wewe.
Mmezoea kukalia wadada vichwani humu kwamba ni malaya sasa leo utashika adabu .
Au yule jamaa ni wewe?

Jamani anayetaka kumjua mhusika aje pm . Namwaga mboga. Fekero zako zimekuponza.
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
 
Nakuja[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nami niko njiani
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Kwani kuliwa kuna shida gani Kama ameamua mwenyewe? Ndo amewakumbusha wanaotaka kumla wawe wanatuma na nauli, mi sijaona tatizo kwa kweli.
 
Kwahiyo hao waliotembea nae ni wajanja ila yeye ndio mjinga!!! Maaaan get a life.
Mkuu huyu dada mm nafanya nae kazi sijawahi kumla ila details zake zote ninazo, ninamjua zaidi ya wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…