Aweke hata kidole nimchekeshe. Wewe Wit......nitakutaja.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo inaitwa weka nikuweke.
Eti wamuharibie hadi kazini, roho ya kishetani tu. Kazini kwake kunahusiana nini na jf kama sio ana lake jambo huyu?
Kila mtu anajiona mzuri, mi mwenyewe hapa Ni kifaa cha maanaHata akijisifia yeye ni mzuri shida iko wapi? Kama yeye anamuona ni mbaya si ni yeye bwana.
Kamchukulia mume nini? Maana sio kwa hasira hizo.Aweke hata kidole nimchekeshe. Wewe Wit......nitakutaja.
Awe anaweka tangazo, maana kuna ndege wangu mmoja kanikataa kwa ajili ya ujinga wake, alipoona tangazo akajua nitakuja kumtangaza humu.Inawezekana Ni kweli. Lakini tujuze..Kuna shida gani akiliwa? Sidhani Kama anajifanya malaika
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Aweke hata kidole nimchekeshe. Wewe Wit......nitakutaja.
Demiss niweke ushahidi hapa?Mwaga mambo uzi unoge [emoji3][emoji3]
Kwani mkuu mlikubalianaje alivyokupa namba yake? Ulikuwa unahitaji mke wa kuoa au mmalizane nyege zenu?Awe anaweka tangazo, maana kuna ndege wangu mmoja kanikataa kwa ajili ya ujinga wake, alipoona tangazo akajua nitakuja kumtangaza humu.
Fara Sana huyu dada,
Sasa je, mwingine akikuona mbaya hayo ni matatizo ya macho yake asikusingizie kabisa.Kila mtu anajiona mzuri, mi mwenyewe hapa Ni kifaa cha maana
Demiss niweke ushahidi hapa?
Anaweza akabisha nisipotupia na kaushahidi.
Hii tabia lazima ikome. Wamezoea wajinga hawa. Kwanini aje na fekero zake hapa kumtishia demiss?
Jobless nimepata Uzi wa kunisogezea muda.
Oya weka hata picha ya kidole hapa , nikuchekeshe kwa kuweka ushahidi na ile I'd yako ya kutongozea wadada niitaje hapa.Awe anaweka tangazo, maana kuna ndege wangu mmoja kanikataa kwa ajili ya ujinga wake, alipoona tangazo akajua nitakuja kumtangaza humu.
Fara Sana huyu dada,
Angalia hiyo ID imefunguliwa na Uzi umeletwa lini? hii nimefungua baada ya mwanzo kupigwa ban....Wala ID haihusianiKalete na ile I'd yako nyingine ikusuport pakashume wewe.
Mmezoea kukalia wadada vichwani humu kwamba ni malaya sasa leo utashika adabu .
Au yule jamaa ni wewe?
Jamani anayetaka kumjua mhusika aje pm . Namwaga mboga. Fekero zako zimekuponza.
Eeeeehhhhh majobless tupate cha kufanya.Majobless tupo wengi, nimeacha kuosha vyombo nimenogewa haswa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Awe anaweka tangazo, maana kuna ndege wangu mmoja kanikataa kwa ajili ya ujinga wake, alipoona tangazo akajua nitakuja kumtangaza humu.
Fara Sana huyu dada,
Kumbe ID ya mhusika unaijua? Ndiyo kakutuma siyo uje umtishie tishie Demiss hapa? Tutamtajaaaaa.Angalia hiyo ID imefunguliwa na Uzi umeletwa lini? hii nimefungua baada ya mwanzo kupigwa ban....Wala ID haihusiani
Hakuna wa kukukataa kwa ujinga wa Demiss labda Kama unamfanyia Kama ulivyomfanyia demiss. Dada wa watu kashtuka kaona asije poteza nauli yake bure!Awe anaweka tangazo, maana kuna ndege wangu mmoja kanikataa kwa ajili ya ujinga wake, alipoona tangazo akajua nitakuja kumtangaza humu.
Fara Sana huyu dada,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Demiss niweke ushahidi hapa?
Anaweza akabisha nisipotupia na kaushahidi.
Hii tabia lazima ikome. Wamezoea wajinga hawa. Kwanini aje na fekero zake hapa kumtishia demiss?
Jobless nimepata Uzi wa kunisogezea muda.
Ngoja niandae nauli kwanza.Mficha uchi hazai
Brand my a.......s, kwahiyo huo upuuzi aloufanya ndio ameona amepandisha brand yake?Eti anaogopa brand yake itashuka.