Wanaume wa JF muwe mnatuma nauli mkitaka kuonana na warembo mwenzenu kanitia hasara!

Wanaume wa JF muwe mnatuma nauli mkitaka kuonana na warembo mwenzenu kanitia hasara!

Inawezekana Ni kweli. Lakini tujuze..Kuna shida gani akiliwa? Sidhani Kama anajifanya malaika
Awe anaweka tangazo, maana kuna ndege wangu mmoja kanikataa kwa ajili ya ujinga wake, alipoona tangazo akajua nitakuja kumtangaza humu.

Fara Sana huyu dada,
 
Demiss niweke ushahidi hapa?
Anaweza akabisha nisipotupia na kaushahidi.
Hii tabia lazima ikome. Wamezoea wajinga hawa. Kwanini aje na fekero zake hapa kumtishia demiss?

Jobless nimepata Uzi wa kunisogezea muda.

Majobless tupo wengi, nimeacha kuosha vyombo nimenogewa haswa
 
Kalete na ile I'd yako nyingine ikusuport pakashume wewe.
Mmezoea kukalia wadada vichwani humu kwamba ni malaya sasa leo utashika adabu .
Au yule jamaa ni wewe?

Jamani anayetaka kumjua mhusika aje pm . Namwaga mboga. Fekero zako zimekuponza.
Angalia hiyo ID imefunguliwa na Uzi umeletwa lini? hii nimefungua baada ya mwanzo kupigwa ban....Wala ID haihusiani
 
Awe anaweka tangazo, maana kuna ndege wangu mmoja kanikataa kwa ajili ya ujinga wake, alipoona tangazo akajua nitakuja kumtangaza humu.

Fara Sana huyu dada,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka hadi basi, hivi uko serious kweli? Na amefanya vyema kukukataa maana nawaza tu kwa haya uloyaandika humu ni muda tu ungeyaandika kumhusu yeye.

Yaani hiyo nafsi yake ilomfanya akasita juu yako aisikikilize haswaaaa akitetereka tu imekula kwake.
 
Angalia hiyo ID imefunguliwa na Uzi umeletwa lini? hii nimefungua baada ya mwanzo kupigwa ban....Wala ID haihusiani
Kumbe ID ya mhusika unaijua? Ndiyo kakutuma siyo uje umtishie tishie Demiss hapa? Tutamtajaaaaa.
Endelea kachukue na ile ID uliokuwa unajitekenya na kujichekesha mwenyewe.
Malaika wa Giza nitakutaja au nitamtaja.
 
Awe anaweka tangazo, maana kuna ndege wangu mmoja kanikataa kwa ajili ya ujinga wake, alipoona tangazo akajua nitakuja kumtangaza humu.

Fara Sana huyu dada,
Hakuna wa kukukataa kwa ujinga wa Demiss labda Kama unamfanyia Kama ulivyomfanyia demiss. Dada wa watu kashtuka kaona asije poteza nauli yake bure!
 
Demiss niweke ushahidi hapa?
Anaweza akabisha nisipotupia na kaushahidi.
Hii tabia lazima ikome. Wamezoea wajinga hawa. Kwanini aje na fekero zake hapa kumtishia demiss?

Jobless nimepata Uzi wa kunisogezea muda.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wapuuzi sana, wapi demiss kamtaja mtu. Anakuja anarukaruka hapa na vijisababu vyake havina miguu wala kichwa ilimradi tu amchafue.

Alafu eti yeye ndio anajiona mwema, hizo details kazitoa wapi kama sio nae ndio hao hao?
 
Back
Top Bottom