Wanaume wa JF muwe mnatuma nauli mkitaka kuonana na warembo mwenzenu kanitia hasara!

Mimi nimeshangaa kwa kweli. Kwanini anaruka ruka na wakati demiss kaweka code na ni ngumu mtu kuifungua.
Nikapata mashaka.
Eti watu wamemfuata pm kumpa mafile ya demiss atamchafua.
Sasa oil chafu inachafuliwaje jamani[emoji16][emoji16][emoji16].
 
Mimi nimeshangaa kwa kweli. Kwanini anaruka ruka na wakati demiss kaweka code na ni ngumu mtu kuifungua.
Nikapata mashaka.
Eti watu wamemfuata pm kumpa mafile ya demiss atamchafua.
Sasa oil chafu inachafuliwaje jamani[emoji16][emoji16][emoji16].
Watu wamemfata kumpa mafile? [emoji849][emoji849][emoji849] Who is he mpaka wamfate?
 
Brand my a.......s, kwahiyo huo upuuzi aloufanya ndio ameona amepandisha brand yake?
Hebu akue huko.
Mwenzako anaishi nchi za nje. Anatongoza pm wadada. Akiumbuliwa hapa hauoni kwamba aliowatokea pm watamshangaa?

Na nitamtaja tuu. Si amemwaga mboga na kanikosea pale juu kwa kusema na mimi najiuza? Amenipa sababu ya kumtaja.
 
Mimi nimeshangaa kwa kweli. Kwanini anaruka ruka na wakati demiss kaweka code na ni ngumu mtu kuifungua.
Nikapata mashaka.
Eti watu wamemfuata pm kumpa mafile ya demiss atamchafua.
Sasa oil chafu inachafuliwaje jamani[emoji16][emoji16][emoji16].
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mafile wapii, wanaume humu wanajikutaga miungu watu. Hebu akwende huko na upuuzi wake.
 
Mwenzako anaishi nchi za nje. Anatongoza pm wadada. Akiumbuliwa hapa hauoni kwamba aliowatokea pm watamshangaa?

Na nitamtaja tuu. Si amemwaga mboga na kanikosea pale juu kwa kusema na mimi najiuza? Amenipa sababu ya kumtaja.
Wacha bwana, hebu tumjue tu kwakweli[emoji23][emoji23][emoji23].
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Lazima mimi nitamtaja, ngoja arudi hapa aone.
Wewe Kama unanifahamu nitaje ila kwa tahadhari usije kuwaunganisha wetu wengine wasiohusika na huu udanga wenu Kama hujui vizuri taarifa zao na Kama una uhakika nitaje nakuruhusu
 
Wewe Kama unanifahamu nitaje ila kwa tahadhari usije kuwaunganisha wetu wengine wasiohusika na huu udanga wenu Kama hujui vizuri taarifa zao na Kama una uhakika nitaje nakuruhusu
Utamwaminisha nani kwamba wewe siyo muhusika na wakati tangu umefungua hii ID ina post 24 na zote ni kwenye huu uzi?
Mzee baba Wit.... Aliyetaka kununua anayejiuza na yeye ni Malaya tuu.
Hauchomoki .
 
Hahaha nilikuwa zoezi kidogo, unitaje Mimi hebu taja? Mimi sina ujinga Kama wa demiss hapa jf
Hebu sema tangu umefungua hii ID umekoment Uzi gani tofauti na huu kwa kumtishia demiss?
Utamwambia nani wewe siyo mhusika?
Kwani hamna nyuzi zingine zilizokuvutia tangu jana?.
Jipange na utume hela ya watu. Unaishi nchi za nje elfu 20 inakushinda?
 
Hebu sema tangu umefungua hii ID umekoment Uzi gani tofauti na huu kwa kumtishia demiss?
Utamwambia nani wewe siyo mhusika?
Kwani hamna nyuzi zingine zilizokuvutia tangu jana?.
Jipange na utume hela ya watu. Unaishi nchi za nje elfu 20 inakushinda?
Kuwa na ID sio lazma uchangie kila upuuzi na mm Sina shida na watu mnaojiuza Kama nyie na mimi siko nje, Niko kijijini huko nalima mpunga ....humu tunakuja kujifunza na sio kuleta mada za kujiuza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…