Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani mkuu mlikubalianaje alivyokupa namba yake? Ulikuwa unahitaji mke wa kuoa au mmalizane nyege zenu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani mkuu mlikubalianaje alivyokupa namba yake? Ulikuwa unahitaji mke wa kuoa au mmalizane nyege zenu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi nimeshangaa kwa kweli. Kwanini anaruka ruka na wakati demiss kaweka code na ni ngumu mtu kuifungua.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wapuuzi sana, wapi demiss kamtaja mtu. Anakuja anarukaruka hapa na vijisababu vyake havina miguu wala kichwa ilimradi tu amchafue.
Alafu eti yeye ndio anajiona mwema, hizo details kazitoa wapi kama sio nae ndio hao hao?
Watu wamemfata kumpa mafile? [emoji849][emoji849][emoji849] Who is he mpaka wamfate?Mimi nimeshangaa kwa kweli. Kwanini anaruka ruka na wakati demiss kaweka code na ni ngumu mtu kuifungua.
Nikapata mashaka.
Eti watu wamemfuata pm kumpa mafile ya demiss atamchafua.
Sasa oil chafu inachafuliwaje jamani[emoji16][emoji16][emoji16].
Mwenzako anaishi nchi za nje. Anatongoza pm wadada. Akiumbuliwa hapa hauoni kwamba aliowatokea pm watamshangaa?Brand my a.......s, kwahiyo huo upuuzi aloufanya ndio ameona amepandisha brand yake?
Hebu akue huko.
Hebu tukapulize kidogo labda tutamwelewa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Najaribu sana kumuelewa mlalamikaji nimeshindwa
Hapo sasa, sijui anaona watu ni manzwanzwa.Watu wamemfata kumpa mafile? [emoji849][emoji849][emoji849] Who is he mpaka wamfate?
[emoji3][emoji3][emoji3] na hali ya hewa hii itapendezaHebu tukapulize kidogo labda tutamwelewa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nimeshangaa kwa kweli. Kwanini anaruka ruka na wakati demiss kaweka code na ni ngumu mtu kuifungua.
Nikapata mashaka.
Eti watu wamemfuata pm kumpa mafile ya demiss atamchafua.
Sasa oil chafu inachafuliwaje jamani[emoji16][emoji16][emoji16].
Wacha bwana, hebu tumjue tu kwakweli[emoji23][emoji23][emoji23].Mwenzako anaishi nchi za nje. Anatongoza pm wadada. Akiumbuliwa hapa hauoni kwamba aliowatokea pm watamshangaa?
Na nitamtaja tuu. Si amemwaga mboga na kanikosea pale juu kwa kusema na mimi najiuza? Amenipa sababu ya kumtaja.
Lazima mimi nitamtaja, ngoja arudi hapa aone.Wacha bwana, hebu tumjue tu kwakweli[emoji23][emoji23][emoji23].
Hahaha nilikuwa zoezi kidogo, unitaje Mimi hebu taja? Mimi sina ujinga Kama wa demiss hapa jfLazima mimi nitamtaja, ngoja arudi hapa aone.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bora tu niseme ukweli kuliko kudanganyanaa.
Kwanini nimesema mwanaume yeyote anaye hitaji kuonana na mimi lazima atume nauli.
MKASA
Kuna mkaka mmoja wa Jf ana I'd yake inaanzia kama ya kike alinifata pm anahitaji kuonana na mimi.
Mimi wala sikuwa na shobo naye akaniganda kama rubaa nakwambia ooh mara natoka Canada nitashuka kenyata airport mara sjui wapi nakuja Dodoma kikazi lazima nikuone Demiss.
Mimi kusikia hivyo nikaona huyu mtu wa maana bwanaa weee kumbe hamsini zangu zimefika chiii
Huyu mkaka baada ya kufika Dom tukawasiliana akasema niende town alafu si mnajua mm naishi huku Hombolo jamani.
Eeeh nikachukua bodaboda mpaka mjini gharama elf 20 nikalipa.
Kichwani nilivaa wigi limeshachambuka na upepo limekuwa kama vuzi la Escober.
Nikapitia saloon kwa Jesca mcharuko akanipaka make up mimi akanichana na wigi kwa sh elf 5. Jumla nimetumia elf 25 mpaka hapo.
Nikakaa hapo saloon nasubiria kuonana na Mwanajf asije akanikimbia nimeshajipodoa na kuupara mtoto nanukia marashi weee balaaa.
Wewe si akaingiza sababu kibaoo jaman nilikereka hapo alisema atarudisha nauli yangu ikabidi niende kulala kwenye geto la Jesca Maili mbili.
Kesho nikaamka nikaenda nane nane nikapanda Super baraka mpaka hombolo nikiwa na mawazo debee.
Jaman nilipata hasara yani hela yangu bado inaniuma mpaka leo.
Alafu huyo member alisema atanirudishia lakini wapi mpaka leo sijaona muamala ukisoma kiufupi hela yangu inaniuma yani ningenunua mchele si ningepata hata kilo kumi.
Kuanzia leo naomba mjue mimi naishi HOMBOLO village.
Mchanganuo wa nauli
Hombolo-Town Elfu 40,000 kwenda na kurudi.
Saloon - Elf10,000
Kama huna nauli basi uwe na gari ya kunifata nilipo sitaki usumbufu.
Onyo:
Sijalazimisha kuonana na mtu ila mkae mkijua habari ndo hiyooo.
Alafu mm sina kifua ukinifanyia kitu lazima niseme saivi kiufupi siwezi kuweka mambo rohoni nisije kufa na pressure.
Location: Ihumwa Machimboni.
Wewe Kama unanifahamu nitaje ila kwa tahadhari usije kuwaunganisha wetu wengine wasiohusika na huu udanga wenu Kama hujui vizuri taarifa zao na Kama una uhakika nitaje nakuruhusuLazima mimi nitamtaja, ngoja arudi hapa aone.
Utamwaminisha nani kwamba wewe siyo muhusika na wakati tangu umefungua hii ID ina post 24 na zote ni kwenye huu uzi?Wewe Kama unanifahamu nitaje ila kwa tahadhari usije kuwaunganisha wetu wengine wasiohusika na huu udanga wenu Kama hujui vizuri taarifa zao na Kama una uhakika nitaje nakuruhusu
Hebu sema tangu umefungua hii ID umekoment Uzi gani tofauti na huu kwa kumtishia demiss?Hahaha nilikuwa zoezi kidogo, unitaje Mimi hebu taja? Mimi sina ujinga Kama wa demiss hapa jf
Inategemea ukoje wanaume wa jf siunawaelewa kama unachura watatumia zao[emoji81] [emoji81] [emoji81]
[/QUOTE
Kuwa na ID sio lazma uchangie kila upuuzi na mm Sina shida na watu mnaojiuza Kama nyie na mimi siko nje, Niko kijijini huko nalima mpunga ....humu tunakuja kujifunza na sio kuleta mada za kujiuzaHebu sema tangu umefungua hii ID umekoment Uzi gani tofauti na huu kwa kumtishia demiss?
Utamwambia nani wewe siyo mhusika?
Kwani hamna nyuzi zingine zilizokuvutia tangu jana?.
Jipange na utume hela ya watu. Unaishi nchi za nje elfu 20 inakushinda?
Ujue mtu haanzi kudanga from no where, ukienda kidangadanga ni lazima udangwe hakuna namna.Wewe Kama unanifahamu nitaje ila kwa tahadhari usije kuwaunganisha wetu wengine wasiohusika na huu udanga wenu Kama hujui vizuri taarifa zao na Kama una uhakika nitaje nakuruhusu