Wanaume wa JF muwe mnatuma nauli mkitaka kuonana na warembo mwenzenu kanitia hasara!

Mmmm, ,mi hapo nampongeza aliyemkimbia demis,mana huwezi jua nani kaokolewa na majanga.

Pia demis unaweza pata funzo kwa kukimbiwa ,kakusaidia ,,jiongeze Fanya kazi halali achana na hii michezo ya hatari,, unaweza oma unapata sapoti kumbe wanaokusapoti wametuliaaa wanajiheshimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…