Wanaume wa JF muwe mnatuma nauli mkitaka kuonana na warembo mwenzenu kanitia hasara!

Wanaume wa JF muwe mnatuma nauli mkitaka kuonana na warembo mwenzenu kanitia hasara!

Mtu na kaka yake mpendwa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe sio wa kuamini saaana, kama gia unazo aiseee
 
Ehhehe nishakula kichambo tayar hapa napumulia mashine kaniita majina yote kuwa mm mdangaji mshamba wa ovyoo nina njaa hahahhaha

Wakat hapa nipo Nashera hotel nimelala miguu juuu
Ila kama yupo humu aludishe pesa yako
Kweli mm nina njaaa kinachoniuma ni pesa kuharibika kwenye bajeti.
20190422_211124.jpeg
 
Back
Top Bottom