Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamoyo kanapiga hapa kwa nguvu nahisi ni presha tayarimefurahi ulivyoitika nimetulia sasa
Kama Yupo humu kiustaarabu atoe hata nusu la sivyo tutamuanika 😀😀😀😀Yumo na naomba anisamehe tu mm sina kifua kama juma lokole
Nimejikuta vimate vimejaa Mdomoni eti 😋Ni korosho zimetoka mtwara leo leo nimezipokea airport
haha poleKamoyo kanapiga hapa kwa nguvu nahisi ni presha tayari
oyaaa kaka nimefuatilia Charing zenu ww,sakayo na awachi nimegundua kitu huyu sakoyo ki ukweli anakupenda San wala si utani na huyu awachi anakupenda but sio kama hawachi maana nimeona hisia zao zote juu yako ingawa wanafanya utani ila kweli roho zao zinauma kweli so karibu kuwapanga vizur bado wapo chini yakompaka Mimi utanidai hajjat
Hahaha wote wangu sitoi talaka kwa mama angu kipenzi Sakayo wala kwa hajjat wangu Hawachi. hawa wataelewana tu kaka wala usijali.oyaaa kaka nimefuatilia Charing zenu ww,sakayo na awachi nimegundua kitu huyu sakoyo ki ukweli anakupenda San wala si utani na huyu awachi anakupenda but sio kama hawachi maana nimeona hisia zao zote juu yako ingawa wanafanya utani ila kweli roho zao zinauma kweli so karibu kuwapanga vizur bado wapo chini yako
Hawachi hajjat wangu ile safari ya juzi nimeiharisha narudi nyumbani, sitaki kupinduliwa Miminilikuwa na mmendea hawachi kumbe umeniwai broo saw bhan fatiki njema
Wallah tena.Hahahah nimepatikana
Umewafuatilia kimya kimya ukaona sasa bora useme tu hahaaaaa......oyaaa kaka nimefuatilia Charing zenu ww,sakayo na awachi nimegundua kitu huyu sakoyo ki ukweli anakupenda San wala si utani na huyu awachi anakupenda but sio kama hawachi maana nimeona hisia zao zote juu yako ingawa wanafanya utani ila kweli roho zao zinauma kweli so karibu kuwapanga vizur bado wapo chini yako