Wanaume wa JF muwe mnatuma nauli mkitaka kuonana na warembo mwenzenu kanitia hasara!

Wanaume wa JF muwe mnatuma nauli mkitaka kuonana na warembo mwenzenu kanitia hasara!

Hapana sijamdhalilisha, huyu jamaa baada ya kuona comment yangu akanifuata pm akacheka Sana akasema kwa ambao hawamjui dada wanaweza Kusema matawi ya juu mno, nilivoona Kuna mwingine ameniquote kuwa anamfahamu ikabidi nimfuate chumbani tulinganishe taarifa za nilizopewa Jana ...namba ni ileile na anasema yeye ila kina mshikaji wake kamla na wanegoogle mpka sehemu anapofanyia kazi....,
Hapana siamini 😢😢
 
Hahahahah mambo gani ya kunichamba hivi wapi nimejikweza tatizo nyie ndo mnanipandisha chati[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hujui tu, huyu ni kubwa la madanga anajiuza mbona kwa waliobahatika kulala nae wanasema wa kawaida sana tofouti na vile anavyojikweza humu ndani...
 
Hahahahhahaha kumbe nilikuwa sijui
Tunavyowapa hela za saloon mnafkri hazituumagi eeh? sasa ndio mjue jinsi tunavyojiskia Tukiwahudumia alafu mkija geto mnasema mpo PERIOD yani tunatamanigi tuwameze kama BIG G
 
Chunusi alizokua nazo zimemwisha maana anajichubua sana plus ni mfupi mno..

Uweupe wake ni wa kujichubua aisee...
Hahaha Kuna jamaa mmoja kanipa page yake ya fb na insta namuangalia tu then nasema Hawa wanaume Wana akili kweli demu Kama huyu unaanzaje kumfuata, waswahili hawashindwi kitu wamemgoogle maana washapata Jina lake halisi washajua mpka sehemu anapofanyia kazi...
 
Ndo umeamua kunichamba jaman kwani unazan mm malaika mm wa kawaida tu sema nyie ndo mnanipaishaaaa jaman mpaka watu wanahisi mm malaikaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna jamaa mmoja alinifuata pm Jana baada ya kuandika reply yangu kwenye huu Uzi kuhusu dada uliyoquote anasema walionana na huyu dada alipoenda dodoma mapumziko, ilikuwa wagegedane baada ya kufika anasema demu alikuwa kawaida sana mnene kiasi, shepu haiweleki na mweupe kiasi na hakumvutia kabisa,ikabidi aagize savvanah then akamuaga anaondoka kuendelea na ratiba..anasema hakumvutia kabisa, akanitumia picha zake na namba zake za simu anazotumia na akanipa majina yake anayotumia kwenye mitandao ya kijamii, fb na inst......nakubaliana na unachosema.
Kama ataridhia niziweke hapa hadaharani

Mm tangu Jana nilipoona hii thread nilijua tu huyu atakuwa danga
 
hahahahaha kanidhalilisha kidogo mwayaa mm wanazani malaika wenyewe ndo wananipaishaa wakat mm hata sijajipaishaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sijawahi andika uzi kujisifia ila wenyewe kutwaa kunisema mm nafananaa kama Malaika wakati asha boko akasome
Aisee eti Demiss ya kweli haya nijuavyo hii mada si ukweli bali kuchangamshana ila umemdhalilisha kwa kweli [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
 
Hahaha Kuna jamaa mmoja kanipa page yake ya fb na insta namuangalia tu then nasema Hawa wanaume Wana akili kweli demu Kama huyu unaanzaje kumfuata, waswahili hawashindwi kitu wamemgoogle maana washapata Jina lake halisi washajua mpka sehemu anapofanyia kazi...
Huyu mwanamke ndio wakulala nae kwa laki+ embu wanaume wakati mwingine tuwe serious na maisha yetu...

Huyu akija mjini wanaume hawawezi kutoa tembo 2 kwa services...
 
Ndo umeamua kunichamba jaman kwani unazan mm malaika mm wa kawaida tu sema nyie ndo mnanipaishaaaa jaman mpaka watu wanahisi mm malaikaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Kama unaridhia sema tukuweke hapa ili watu wakutambue vizuri, maana unakera sana na mada zako zilizojaa ukakasi..
 
Na akiendelea watamuanika humu, vijana chemba washajikoki, unaweza usiamini ila yeye mwenyewe anajua...aache huu ujinga
Asije shangaa siku moja watu wakatupia video akiliwa biriani aache tabia chafu na nyuzi zisizo na mashiko...

Kwa kuwa washamjua anapenda hela,sitoshangaa siku wakimpiga mtungo plus kurecord video wakaziachia..

Demiss mdogo wangu naomba ubadilike...
 
Kama unaridhia sema tukuweke hapa ili watu wakutambue vizuri, maana unakera sana na mada zako zilizojaa ukakasi..
Kweli mkuu aseme mwenyewe Kama anaridhia? Ila watu wamjue vizuri aache kuchafua watu,...wengine ndege washaanza kukimbia wanajua tutakuja kuwaanika humu, kwa akili ya mpuuzi Kama huyu...hahaha
 
Kweli mkuu aseme mwenyewe Kama anaridhia? Ila watu wamjue vizuri aache kuchafua watu,...wengine ndege washaanza kukimbia wanajua tutakuja kuwaanika humu, kwa akili ya mpuuzi Kama huyu...hahaha
Nilishawahi kusema humu, JF imegeuka kuwa kichaka cha mauzo ya miili wadada wengi humu ni wepesi mno narudia tena ni wepesi mno kuliwa...

Na hauhitaji pesa nyingi sana kulala nao maneno yako tu na outing za kawaida...

So, muwe makini maana afya za wengine humu sio nzuri...
 
Back
Top Bottom