Wanaume wa JF...Ngoma zisizo na mdundo mnazocheza nasi kutwa kucha huko Pm, ipo siku zitapasuka. Wanawake Tumechoka sasa!!!



hahhahaa mie mhenga sisy..mie sio wa 90 ujue😊😊uhenga raha....sijui hy nilijuaje tu kwakweli..naipenda couple yenu mpo smart ila dadii naye mtata saa Ingine😉...!be blessed
 
Khaaaa! kasie mahabat, umenifanya nirudi mbio mbio kuangalia mishumaa inavutia kwakweli,, hv a happy merry Christmas n prosperous new year.
 
hahhahaa mie mhenga sisy..mie sio wa 90 ujue😊😊uhenga raha....sijui hy nilijuaje tu kwakweli..naipenda couple yenu mpo smart ila dadii naye mtata saa Ingine😉...!be blessed

Hhahahahahahaha Mtata kama Kasie.....

I give Glory to God for what is in my table kwakweli.

Kasie.
 
Khaaaa! kasie mahabat, umenifanya nirudi mbio mbio kuangalia mishumaa inavutia kwakweli,, hv a happy merry Christmas n prosperous new year.

Hhehehehehehehee, mishumaa haiishi kutaka kuiwasha kila saa unazima unaishika unawasha hehehehehehehe hata nikiungua navumilia tuu aahahahahahahhahaahaa.

Thanks for the wishes, and you too enjoy the Festive Season.
 
You can't even exchange it cause the price is too high.

The price tag is priced Mahaba yote kwa Dadii, can you exchange that to any currency and come up with a figure...!!!??
Bora nikajenge nyumba ya kupangisha[emoji470][emoji470]
 
DaJane tuheshimiane tafadhali, usipende kutujumuisha wanaume wa ukweli na kuku wa kizungu (wanaume wa Dar), kwani kuna tofauti kubwa sana kati ya kuku za kizungu na kuku asilia.
 
DaJane tuheshimiane tafadhali, usipende kutujumuisha wanaume wa ukweli na kuku wa kizungu (wanaume wa Dar), kwani kuna tofauti kubwa sana kati ya kuku za kizungu na kuku asilia.

unajua wengi hamjamuelewa huyu dada..kuna wavulana anakesha pm kwako..bas liwepo la.maana hakuna...salam na yy yeye na salamu... kwann usisalimie asbh na mchana ukamtakia mchana mwema ? inakera sana ...tena sana...mwingine anakuambia nakufatilia kila nachocomment khaa ili iweje kwa mfano?..punguzeni bas
 


Nimemuelewa na ndiyo maana nimesema asipende kufananisha wanaume wa ukweli na kuku wa kizungu kwani tabia hizo sana sana wanazo vijana na wanaume wa Dar wasiopenda kufanya kazi. Huku mikoani nani anashinda kwenye mitandao kutwa kucha kumfuatilia mwanamke mtandaoni, tena mwanamke mwenye avatar fake?
 
Ungeniambia Mimi €900 ningekupa lakini ukanipiga cha mbavu nikashindwa hata kuinuka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…